komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
CCM bana huaga hatutaki data za mabeberu..sisi huenda kwenye ground...
Data siku zote ni propaganda za mabeberu..
Data siku zote ni propaganda za mabeberu..
Sasa unabishana na dunia?, wewe lete tafiti ya kidunia inayoonyesha kwamba wahindi wanamiliki uchumi wa Tanzania. Kenya not yet Uhuru