Wakenya washinda shindano la watu wenye muonekano mbaya zaidi Afrika.

Wakenya washinda shindano la watu wenye muonekano mbaya zaidi Afrika.

Status
Not open for further replies.
Wewe tatizo una mawazo ya kizamani sana, pia inaonekana huna exposure ya dunia, unachokiamini wewe unataka kiwe kama kilivyo, na usichokiamini wewe basi hakifai, wapo wanaopenda hiyo natural skin kama wewe, lakini walio wengi wanapenda watu waliojipodoa na kubadilisha skin iwe a bit light, ndiyo sababu biashara hiyo imekuwa kwa kasi sana duniani, kuna wanaopenda natural hair, lakini wengi wanapenda nywele bandia, kwanini unapingana na dunia?

Nimesema mwananmke anajiremba ili avutie wanaume wa hali ya juu kimaisha, watu wenye hali nzuri wanapenda kuoa wanawake warembo, na urembo wa mwanamke unaongezwa na vipodozi, wachache kama wewe ndiyo wasiopenda vipodozi.

Kuhusu hizo taarifa za kina Flavian kupata pesa nyingi za matangazo, kwanza hazihusiani na mjadala wetu, mjadala ni kupendeza kwa mwanamke na kupendwa kwa wanawake kati ya wanaojichubua na wasiojichubua, sasa hayo ya kupata pesa nyingi yanakujaje hapa?, unadhani hao unaowataja kigezo cha kupata hizo pesa ni kutojichubua?, zaidi ya hayo yote usilete habari za udaku usizokua na ushahidi ili muradi tu ujaze server ya JF, lete ushahidi kuonyesha kwamba alilipwa $1.5m katika tangazo alilofanya.
Hahaha! Mzee uko local sana, nimekutajia hao juu ukimuona hellen au flavi kavaa hayo mawigi ujue anayapromote broh, hivi wewe unaijua hata beauty industry kweli? Ukute eliety, lupita, flavian, odemba kava wigi ujue anapiga pesa, hivi wewe mwenzangu unaongelea wakina mobeto au? Unaweza kuta wote tuko sawa sema kila mtu anaongelea angle yake, na kwa taarifa tu natural cosmetics ni gharama kuliko hizo carolite,
Hayo maandishi yako yanaonyesha unaongelea wakina giggy money, sio haba pia.

Bt; Umehamisha mada tunaongelea kujichubua sio kujiremba,
Kujichubua; ni kubadilisha ngozi ya mwili wako ili ufanane na mzungu. Mf; kutoka Mwantumu kuwa Lady gaga
 
Hahaha! Mzee uko local sana, nimekutajia hao juu ukimuona hellen au flavi kavaa hayo mawigi ujue anayapromote broh, hivi wewe unaijua hata beauty industry kweli? Ukute eliety, lupita, flavian, odemba kava wigi ujue anapiga pesa, hivi wewe mwenzangu unaongelea wakina mobeto au? Unaweza kuta wote tuko sawa sema kila mtu anaongelea angle yake, na kwa taarifa tu natural cosmetics ni gharama kuliko hizo carolite,
Hayo maandishi yako yanaonyesha unaongelea wakina giggy money, sio haba pia.
Wewe una ushamba wa kuzaliwa nao, hivi unajua biashara ya urembo na vipodozi ilivyokubwa?, kati ya wanawake 10 hapa Afrika, 8 kati yao wanatumia artificial hair, ukimkuta msichana hana arificial hair labda ameziacha kwa muda tu, wewe endelea kupingana na huo ukweli, dunia itakuacha nyuma
 
Hahaha! Mzee uko local sana, nimekutajia hao juu ukimuona hellen au flavi kavaa hayo mawigi ujue anayapromote broh, hivi wewe unaijua hata beauty industry kweli? Ukute eliety, lupita, flavian, odemba kava wigi ujue anapiga pesa, hivi wewe mwenzangu unaongelea wakina mobeto au? Unaweza kuta wote tuko sawa sema kila mtu anaongelea angle yake, na kwa taarifa tu natural cosmetics ni gharama kuliko hizo carolite,
Hayo maandishi yako yanaonyesha unaongelea wakina giggy money, sio haba pia.
Wewe una ushamba wa kuzaliwa nao, hivi unajua biashara ya urembo na vipodozi ilivyokubwa?, kati ya wanawake 10 hapa Afrika, 8 kati yao wanatumia artificial hair, ukimkuta msichana hana arificial hair labda ameziacha kwa muda tu, wewe endelea kupingana na huo ukweli, dunia itakuacha nyuma
 
True, Nancy angefika mbali sana ila ndio hivyo kamati yenyewe ya Miss Tanzania ilikua magumashi top ten hakufika.
Nancy alikuwa miss tanzania 2005. Alikuwa 6th runner miss world. Na alikuwa miss world africa. She is the most beautiful woman I ever seen.
 
Nancy alikuwa miss tanzania 2005. Alikuwa 6th runner miss world. Na alikuwa miss world africa. She is the most beautiful woman I ever seen.
wow!! kumbe top ten alifika aiseeee hongera zake.
Yes that woman is so beautiful and classic,
Nimependa alivyoweza ku maintain mwili wake hadi sasa.... hakika anavutia mrembo huyu.
 
Wewe una ushamba wa kuzaliwa nao, hivi unajua biashara ya urembo na vipodozi ilivyokubwa?, kati ya wanawake 10 hapa Afrika, 8 kati yao wanatumia artificial hair, ukimkuta msichana hana arificial hair labda ameziacha kwa muda tu, wewe endelea kupingana na huo ukweli, dunia itakuacha nyuma
Bosi mbona unakichwa kigumu sana kuelewa, nimekwambia kuwa nimekuelewa na uko sawa, uzuri ni kwamba umeongelea warembo kwa angle yako na mimi nimeongelea kwa angle yangu, ni kwamba uko sawa kabisa wala haujakosea,
IMG_0421.jpg

IMG_0422.JPG


Ukitazama hizo picha juu, wote ni warembo haswaa, ila kila mtu ana mtazamo tofauti katika urembo kuna natural beauty na fake beauty, kwangu mimi mrembo ni yule ambaye bila kuwa na make ups wala mawigi still anaonekana mrembo, na sio lazima uelewe ila mimi nimekuelewa, hao wote kwenye picha ni warembo haswaa, inategemeana na unauangalia urembo katika angle gani.
 
IMG_0421.jpg
Wewe una ushamba wa kuzaliwa nao, hivi unajua biashara ya urembo na vipodozi ilivyokubwa?, kati ya wanawake 10 hapa Afrika, 8 kati yao wanatumia artificial hair, ukimkuta msichana hana arificial hair labda ameziacha kwa muda tu, wewe endelea kupingana na huo ukweli, dunia itakuacha nyuma
Ni kweli kabisa nakubaliana na wewe kwenye hilo, kama unavyoona.
 
impact ya ukabila iyo wanyarwanda nao kuoana ndugu. ( hujui kaka na shemeji ni yupi wanafanana)
back home Tz wamakonde wahamishiwe msumbiji au makumbusho ya taifa pia coz wamebaki kuoana wao kwa wao tu hawajichanganyi jamii mzima ni wafupi round face, similar nose oooh boaring
You have no idea ni namna gani umenichekesha! Ohh boring!
 
ISS AFRICA WORLD 2017 AND MISS KENYA/NO4 MISS WORLD 2017


  1. Magline-Jeruto-top-ten.jpg


    23593717_10156012091929974_1570872132690165269_o-1024x683.jpg


    Miss-World-Kenya-Top-10-2.jpg


    Miss-World-2017-Is...-Miss-India-Manushi-Chhilar-4.jpg
Nikiangalia picha za hawa mamiss inanifanya niwaze what happened historically hadi hili shindano liwe ni la wadada warefu, wembamba? Wajuzi hebu fafanueni tujifunze.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom