Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Duuh!!! you wish??Sasa muoneni huyo bint sura na macho yake, hii ni bangi au hata mirungi inafanya macho yawe mekundu?, huyu mimi nikivaa gauni na kuweka makeups ninamkalisha, haniwezi kabisa huyu
Wow!!!! she is so beautiful.... slim, exactly my type[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
Wewe hujui warembo wala hujawahi kuona warembo, huyu ana urembo gani?, jicho kama la Uhuru Kenyata, njoo uje uone warembo huku, sasa huyo na Lupita wametofautiana nini?Duuh!!! you wish??
Una english figure kama huyo mrembo???
Ngozi yako ni nyeusi ya kuteleza kama yeye??
Nitafute nikuapply make up then nikupe dili nono.
lol
Mbona ana jaundice.........kinyago cha mpapuleApparently, miss World Africa 2017 is a Kalenjinian beauty from Kenya.
View attachment 635276
View attachment 635277
View attachment 635278
View attachment 635279
View attachment 635280
15 photos of Kalenjin beauty who was crowned African queen
Ukiona mawingu ujue dalili za mvua,mkuu take careSasa muoneni huyo bint sura na macho yake, hii ni bangi au hata mirungi inafanya macho yawe mekundu?, huyu mimi nikivaa gauni na kuweka makeups ninamkalisha, haniwezi kabisa huyu
Mbona ana jaundice.........kinyago cha mpapule
ConfidentialitySawa Dr...wanna prescribe some meds for her?!
Ukiona mawingu ujue dalili za mvua,mkuu take care
Lol.... Emancipate yourself from mental slavery.....Wewe hujui warembo wala hujawahi kuona warembo, huyu ana urembo gani?, jicho kama la Uhuru Kenyata, njoo uje uone warembo huku, sasa huyo na Lupita wametofautiana nini?
Wala sijataja rangi ya ngozi, mimi nimetaja rangi ya macho tu, ninajua umeanza kujistukia mwenyewe, kumbuka watanzania hawana mawazo ya kitumwa kama wakenya wanavyowanyenyekea na kuwaabudu wazungu hadi kwenye lugha ya kiingereza, huyo binti kwa Kenya ni mrembo, ila akifika bongo ni daraja la tatuLol.... Emancipate yourself from mental slavery.....
Najua hapo kwako ili mtu awe mrembo shart awe mweupe na chura.
my dear, hujui tofauti ya UZURI na UREMBO??
That girl is so beautiful whether you like it or not.
wait...what?!Wow!!!! she is so beautiful.... slim, exactly my type[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
Rangi ya macho yake ndio ikufanye wewe utamani kupaka make up ili ushindane nae??? Seriously???Wala sijataja rangi ya ngozi, mimi nimetaja rangi ya macho tu, ninajua umeanza kujistukia mwenyewe, kumbuka watanzania hawana mawazo ya kitumwa kama wakenya wanavyowanyenyekea na kuwaabudu wazungu hadi kwenye lugha ya kiingereza, huyo binti kwa Kenya ni mrembo, ila akifika bongo ni daraja la tatu
She is beautiful and she is my type....wait...what?!
Ila amefanana na Daniel Arap MoiApparently, miss World Africa 2017 is a Kalenjinian beauty from Kenya.
View attachment 635276
View attachment 635277
View attachment 635278
View attachment 635279
View attachment 635280
15 photos of Kalenjin beauty who was crowned African queen
Ila amefanana na Daniel Arap Moi
Wewe kichwa chako kimejaa nyuki?, mimi wapi nimesema ni mzuri huyo binti?, katika kumkosoa kwangu eneo moja wapo nililotaja ni macho, wala sijagusa rangi ya ngozi, ila hana sura nzuri kabisa, na hayo macho yake yalivyo, ndiyo yanazidi kumuangusha, umbo lake juu hadi chini ni kama mti, huyo uzuri wake ni upi? hivi wewe ulishaona wasichana warembo?, vuka mpaka uje uone warembo, acha kujifungia KiberaRangi ya macho yake ndio ikufanye wewe utamani kupaka make up ili ushindane nae??? Seriously???
hebu tuseme "kizuri hakikosi kasoro" hapo vipi,
na ume admit kua ni mzuri ila macho yake tu ndio hayajakubariki... lol
Big up, mnajiweza kila idaraHahah!, habari ndo hiyo lakini.
She's no. 1 in Africa, and 4th in the World..