Wakenya washinda shindano la watu wenye muonekano mbaya zaidi Afrika.

Wakenya washinda shindano la watu wenye muonekano mbaya zaidi Afrika.

Status
Not open for further replies.
Wewe kichwa chako kimejaa nyuki?, mimi wapi nimesema ni mzuri huyo binti?, katika kumkosoa kwangu eneo moja wapo nililotaja ni macho, wala sijagusa rangi ya ngozi, ila hana sura nzuri kabisa, na hayo macho yake yalivyo, ndiyo yanazidi kumuangusha, umbo lake juu hadi chini ni kama mti, huyo uzuri wake ni upi? hivi wewe ulishaona wasichana warembo?, vuka mpaka uje uone warembo, acha kujifungia Kibera
Lol, i'm Tanzanian my friend and you don't have to panic..... do you know that girl is MISS WORLD AFRICA??? which means in Africa she is a number one, lol....

Sasa hao warembo wako wakusanye na wewe uwavike mataji lakini Dunia imemuona na kumtambua kua the girl ana deserve.
Unachoendeleza ni chuki ambayo kama ni mwanaume inaleta taswira mbaya.

Have a good day.
 
Lol, i'm Tanzanian my friend and you don't have to panic..... do you know that girl is MISS WORLD AFRICA??? which means in Africa she is a number one, lol....

Sasa hao warembo wako wakusanye na wewe uwavike mataji lakini Dunia imemuona na kumtambua kua the girl ana deserve.
Unachoendeleza ni chuki ambayo kama ni mwanaume inaleta taswira mbaya.

Have a good day.
Kama wewe ni mtanzania basi sio riziki
 
Nimesoma maelezo kuhusu wakikuyu mhhhh,

Itabidi nikipata likizo nine niwaone ndugu zangu TV sometimes lies.
 
Lol, i'm Tanzanian my friend and you don't have to panic..... do you know that girl is MISS WORLD AFRICA??? which means in Africa she is a number one, lol....

Sasa hao warembo wako wakusanye na wewe uwavike mataji lakini Dunia imemuona na kumtambua kua the girl ana deserve.
Unachoendeleza ni chuki ambayo kama ni mwanaume inaleta taswira mbaya.

Have a good day.
kwa mtazamo wangu mimi sio kwamba ndo mzuri africa huyu dada, bali ni mzuri kati ya walioshiriki mashindano hayo [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

hivi seriously ukisema warembo utamuweka????

kuna wanawake warembo na wazuri sema hawashiriki hayo mashindano ya kuuza sura
 
kwa mtazamo wangu mimi sio kwamba ndo mzuri africa huyu dada, bali ni mzuri kati ya walioshiriki mashindano hayo [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

hivi seriously ukisema warembo utamuweka????

kuna wanawake warembo na wazuri sema hawashiriki hayo mashindano ya kuuza sura
Hahahahahaha leave my girl alone.
 
Absolute nonsense ,we are a beautiful people. Africa oyee.
 
Lol, i'm Tanzanian my friend and you don't have to panic..... do you know that girl is MISS WORLD AFRICA??? which means in Africa she is a number one, lol....

Sasa hao warembo wako wakusanye na wewe uwavike mataji lakini Dunia imemuona na kumtambua kua the girl ana deserve.
Unachoendeleza ni chuki ambayo kama ni mwanaume inaleta taswira mbaya.

Have a good day.


Culture G..
Huyu jamaa naona hakuelewi kimawazo. Alivyosema mdada kama mti, that's it.
Mwenzako usikute anawaza wale warembo wetu, (if you know what am talkin' bout...lol)
Wakati mdada kama huyu kuwa 4th in the World wameangalia mengi.

Physically, hizo cheekbones zake is one of the big deals in the world of beauty. Mfano mwingine ni kama zile za Flaviana Matata.

Halafu kuna vitu vingine wanaangalia kama Upstairs kuko bien, Personality, Communication skills, demeanour..
Na vingine ambavyo ame qualify in order to present beauty Internationally.
Sasa sie kwani tuna muda wa kuangalia hayo yote basi..
 
Culture G..
Huyu jamaa naona hakuelewi kimawazo. Mwenzako usikute anawaza wale warembo wetu, (if you know what am talkin' bout...lol)
Wakati mdada kama huyu kuwa 4th in the World wameangalia mengi.

Physically, hizo cheekbones zake is one of the big deals in the world of beauty. Mfano mwingine ni kama zile za Flaviana Matata.

Halafu kuna vitu vingine wanaangalia kama Upstairs kuko bien, Personality, Communication skills, demeanour..
Na vingine ambavyo ame qualify in order to present beauty Internationally.
Sasa sie kwani tuna muda wa kuangalia hayo yote basi..
Na mimi nimejua hilo ndio maana nikasema anatazama wowowo....
wanajua urembo ni sura na shepu ya kibantu hawajui hata kichwan pia kunatazamwa.

Halafu umeongea kweli that girl look alike na Flaviana Matata i remember hata Nancy Sumari alikua/yupo kama huyu beauty.
Miss World sio jambo la mchezo mchezo aiseee.
 
Mungu wangu afu ndio nakumbuka sasa hivi kumbe mimi ni msichana eeeh. lol
Sasa mbona unataka kuniangusha dada yangu?, hapo kwa huyo mkenya kuna uzuri gani?, may be she is exposed and had an opportunities to participate in international contents, ila hebu sema ukweli, wala sio wowowo, huyo ana sura ya mzee Moi huyo, urembo upo wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom