Wakenya watua Zambia kujadili ununuzi wa mahindi

Huwa nasemaga wakenya ni wapumbavu wapumbavu tu hawana akili mtazunguka weeeeeeee!!


Ila mtarudi hapa hapa kwa kaka zenu.

Jeuri zenu huwa ni muda Ila mambo yakiwawia ugumu huwa mnatuomba tukae mezani tuyamalize .

Hehehehe endeleeni na ngebe zenu ni swala la muda tu mtajileta wenyewe .
 
Yanapitia wapi?
 
Dawa yenu ni moja tu tuna ban importation of goods from kenya halaf na KQ tunaiban ndo mtaelewa mtapiga makoti tu
Bonge la wazo, hii itakuwa safi sana kwa Tz kujipambanua sasa, akili ikishawarudi utakuta soko limehamia lote Tz na limekolea.
 
Mmmhh!!! Neno njaa ni aibu kwa taifa lolote lile.
Kenya= njaa
Tz = mahindi yake
Zambia =mahindi yake.

Hapo vp?
 
Hapo tu ndo unaniachaga hoi! Mambo ya 2013 lol

Cha msingi ni kwamba ardhi yenu hiyo imekua na rotuba tangia mpate uhuru, kwamba mumefuata mahindi ya Wazambia hata kama 2010 ina maana mumelaaniwa uvivu. Juzi mwaka huu mumefuata Malawi...
 
Cha msingi ni kwamba ardhi yenu hiyo imekua na rotuba tangia mpate uhuru, kwamba mumefuata mahindi ya Wazambia hata kama 2010 ina maana mumelaaniwa uvivu. Juzi mwaka huu mumefuata Malawi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe jamaa! Hivi suala la ardhi kukosa rutuba kwa karne hii ya 21 nalo ni la kuweka mtandaoni eti ndo linasababisha njaa?

Tena eti mnajiita middle income wakati hata mnashindwa kununua mbolea ya kurutubisha mashamba! Mnazidiwa na sisi wakulima wetu wanakopeshwa pembejeo!

Mngakuwa jangwani kama nchi nyingine si ndo mngekufa kabisa kwa kulia lia kwenu!

BTW, Labda nikifahamishe kuwa sio kuwa maeneo yote tz yana rutuba ya asili! Rutuba huisha kadri matumizi yanavyoongezeka! Tunatumia mbolea! Pia maeneo mengine yanapata changamoto ya mvua, ndo maana chakula kinatoka sehemu moja ya nchi na kuwapekekea!

Sio kama Kenya ambako nchi nzima inakuwa haina chakula.
 
Ungeomba tafsiri kimya kimya tu ww mswahili, ama vipi upate kozi yako ya english fresh apo dar kwa ras simba, na ww uteme yai humu kama wakenya[emoji3] [emoji109]
Unatema yai kisha unaenda kuomba mahindi Zambia 😉😉
 
Cha msingi ni kwamba ardhi yenu hiyo imekua na rotuba tangia mpate uhuru, kwamba mumefuata mahindi ya Wazambia hata kama 2010 ina maana mumelaaniwa uvivu. Juzi mwaka huu mumefuata Malawi...
Hata ardhi Ikiwa na rutuba mvua ikakosekana hiyo rutuba itakusaidia nini kwenye global warming????

The fact ni kwamba Tanzania hatuna shida ya mahindi kama nyie wenye permanent famine of all time sisi tunauza mahindi sio kenya pekee sababu ndipo panapoongelewa sana hapa.

Kwa taarifa yako Tanzania inauza mahindi mengi Congo, Uganda, Mozambique, Burundi, Rwanda, Malawi, Zambia, Somalia, Sudan kitakwimu kenya tunaiuzia chini ya 15% ya export ya mahindi yetu.
 
Cha msingi ni kwamba ardhi yenu hiyo imekua na rotuba tangia mpate uhuru, kwamba mumefuata mahindi ya Wazambia hata kama 2010 ina maana mumelaaniwa uvivu. Juzi mwaka huu mumefuata Malawi...
Ahahahaa mtani unanichekesha nyie hodari wa kazi serikali yetu (Tanzania) nikikataza mahindi kusafirishwa hammalizi wiki mnahaha mahindi, hivi mnataka kutuaminisha kwamba mnategemea chakula kutoka Tanzania? Tena cha wizi na utapeli? Na serikali yenu inajua hilo kwa nini isitafute plan B ambayo ni kufuata njia halali ya ununuzi wa chakula? Sitaki kuilaumu serikali yenu Ila ninaishangaa!! Halafu unasema tuna laana ya uvivu kwa kuwalisha au? nikusamehe bure
 
Kwa taarifa yako Tanzania ndio inaongoza kuingiza bidhaa kenya acha kukariri mambo hiyo ni fact wala sio ushabiki usije fikiri kenya inavyobania bidhaa za Tanzania kuingia kenya ni swala la mchezo
kenya ilikuwa zamani sana.....kwa sasa nikuwalaza chali......
 
tafuta taarifa official inayosema kama tz tumezuia mahindi kwenda kenya....ujue chanzo na upate uhakika
 
JAMANI TWENDE MBELE TURUDI NYUMA haya yote tunayoyasikia ni propaganda za kenya tu.....

hebu tuwaambie walete taarifa official inayosema kama Tanzania imezuia mahindi kwenda kenya hapo ndipo chanzo kitapatikana vinginevyo hapa watakimbiana
........

HIZI NI PROPAGANDA ZA WAKENYA
 
Land law ya kenya ni mbovu sana. Usishangae karibia robo tatu ta ardhi yote ya kenya inamilikiwa na watu wasiozidi 10, sasa mkiwanyima kura sa wanaweza kasirika wasilime ninyi mtakula nini?
 
kenya ilikuwa zamani sana.....kwa sasa nikuwalaza chali......
Yaani watu wamekariri sana kenya imeshaona Tanzania tunaingiza mafuriko ya bidhaa mpaka wanazuia bidhaa zetu za ngano, gas, n.k ili kuweka balance kiuhalisia saivi hakuna bidhaa hata moja inayozalishwa kenya Tanzania haizalishwi na viwanda vyetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…