game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,727
- 24,840
Una hakika? Ushawahi hata kusafiri nje ya mipaka ya Tz? Halafu kama huna uwezo wa Kutafuta hela usisumbue watu humu, huo ni ujinga wako usitusemee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Not all Kenyans got jobs but most of them have, kuna viwanda all over kule, kuna uhuru wa biashara kule.
Tanzania mtu anafanya kazi ya kupata 500K ila haipati anaishia kupata 100k ambayo ananunua cadet mbili na t-shirt moja imeisha hilo nalo ni li nchi au ushubwada?
Sent using Jamii Forums mobile app