Wakenya wazidi kumtamani Magufuli, wamtaka Uhuru Kenya kujifunza toka kwake kupambana na Corona

Kwendraaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
rais wa Tanzania hadi sasa amechukua hatua gani ya kimkakati kudhibiti Corona?

usituletee geresha za kuosha mikono kwani hilo kila mtu anajua.
Rais kachukua Hatua mbili za kimkakati kukabiliana na corona

Hatua ya kwanza ameondoka Dar kwenda Dodoma

Hatua ya pili ameondoka Dodoma kwenda chato.

Corona mchezo na inavopenda wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…