Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Sasa ukiongeza kodi ndiyo umebuni nini? Kuna ubunifu gani hapo?
Badala ya kuumiza kichwa uchumi ukue ili uweze pata kodi ya kutosha wewe unaongeza kodi, ambayo nayo ni hatari kwa uchumi kukua, harafu unasema 'tumebuni' vyanzo vya mapato!
Tutafute njia za kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi, huko ndiko akili yetu itumike na kuumia sana. Na si kutafuta njia za kufanya unyang'anyi daily.
Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.
Anamaliza kwa kusema; uporaji hufanya kiongozi achukiwe. Na katika mambo ambayo kiongozi anatakiwa kujiepusha sana ni kuchukiwa na kudharauliwa.
Badala ya kuumiza kichwa uchumi ukue ili uweze pata kodi ya kutosha wewe unaongeza kodi, ambayo nayo ni hatari kwa uchumi kukua, harafu unasema 'tumebuni' vyanzo vya mapato!
Tutafute njia za kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi, huko ndiko akili yetu itumike na kuumia sana. Na si kutafuta njia za kufanya unyang'anyi daily.
Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.
Anamaliza kwa kusema; uporaji hufanya kiongozi achukiwe. Na katika mambo ambayo kiongozi anatakiwa kujiepusha sana ni kuchukiwa na kudharauliwa.