Wakiambiwa wabuni vyanzo vya mapato wanafikiria kuongeza kodi?

Wakiambiwa wabuni vyanzo vya mapato wanafikiria kuongeza kodi?

We unaona kodi ya miamala si ubunifu? FAILED STATE kila mtu ni kambale, na maza alivyosoft watu wakibweka anaufyata.

Kodi za miamala ni miongoni mwa kodi laini mtu analipa bila kuumia kivile. Ni kama serikali ilivyofuta road licence za watu kujisweka kama magunia mmejipanga eti mnaenda kulipa TRA. Walivyoamua kuiweka iwe automatic kwenye kununua mafuta watu tunalipa bila hata kustuka.

Bottom line ni kwamba kila mtanzania lazima achangie maendeleo ya nchi yake, ni namna gani bora ya kufikia hapo ndio ubunifu huo unatakiwa.
Kuchukua pesa za wananchi siyo ubunifu. Tayari watu wanapesa zao, unaenda kuzichukua halafu unaita ubunifu! Zaidi zaidi utaongeza gharama za biashara na kuua ubunifu.

NCHI INAYOJARIBU KUENDELEA KWA KUTOZA KODI NI SAWA NA MTU ALIYE NDANI YA NDOO KISHA AKAJARIBU KUJINYANYUA-Churchil
 
Kuchukua pesa za wananchi siyo ubunifu. Tayari watu wanapesa zao, unaenda kuzichukua halafu unaita ubunifu! Zaidi zaidi utaongeza gharama za biashara na kuua ubunifu.

NCHI INAYOJARIBU KUENDELEA KWA KUTOZA KODI NI SAWA NA MTU ALIYE NDANI YA NDOO KISHA AKAJARIBU KUJINYANYUA-Churchil
Basi tusiwe na serikali kila mtu aishi kivyake. Maana hakuna pesa yoyote ya serikali isiyo ya wananchi au kutoka kwa wananchi.
 
Wenye mawazo sahihi kwa mtazamo wako ni wepesi sana kwa mtazamo wa walio wengi.

Kutawala ni suala pana na lenye kutazamwa kadri ya fikra za mtu binafsi.
Hamna lolote, ni kweli kuna ugumu katika kutawala, ila ugumu wa sasa unaletwa na watu wenye uwezo mdogo wanaoshurutisha kutawala kwa ajili ya mlo, huku wakiwa hawana uwezo.
 
Hamna lolote, ni kweli kuna ugumu katika kutawala, ila ugumu wa sasa unaletwa na watu wenye uwezo mdogo wanaoshurutisha kutawala kwa ajili ya mlo, huku wakiwa hawana uwezo.
Wenye uwezo mkubwa wapo wewe hata siku moja huwezi kuukubali uwezo wao na hakuna mwenye uwezo wa kukubadilisha mtazamo wako.
 
Hiyo ni kauli dhaifu, binadamu hatuishi milele. Kuna nchi zimetoka kwenye umaskini ndani ya 10years. Mtu anazaliwa na kufia kwenye umaskini halafu unasema maendeleo siyo ya siku moja.
Katika nchi hii hii moja wapo wengi tu wanaoachana na umaskini, tembea nchi nzima utawaona, ukibakia nyuma ya keyboard huwezi kuwaona.
 
Wanafanya mengi kulingana na dunia hii ya covid19 kumbuka lipo ongezeko la watu lakini rasilimali haziongezeki.

Tulipofikia kukaribia uchumi wa kati ngazi ya katikati ni jitihada zao, wanafanya mengi laki ni hatuyaoni tukiwa ni mabingwa wa malalamiko.
Hizo positive effects za hizo so called middle economy zimekufikia wewe peke yako ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ukiongeza kodi ndiyo umebuni nini? Kuna ubunifu gani hapo?

Badala ya kuumiza kichwa uchumi ukue ili uweze pata kodi ya kutosha wewe unaongeza kodi, ambayo nayo ni hatari kwa uchumi kukua, harafu unasema 'tumebuni' vyanzo vya mapato!

Tutafute njia za kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi, huko ndiko akili yetu itumike na kuumia sana. Na si kutafuta njia za kufanya unyang'anyi daily.

Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.

Anamaliza kwa kusema; uporaji hufanya kiongozi achukiwe. Na katika mambo ambayo kiongozi anatakiwa kujiepusha sana ni kuchukiwa na kudharauliwa.
Hao ndio eti wasomi wetu
 
Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.


🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Sasa ukiongeza kodi ndiyo umebuni nini? Kuna ubunifu gani hapo?

Badala ya kuumiza kichwa uchumi ukue ili uweze pata kodi ya kutosha wewe unaongeza kodi, ambayo nayo ni hatari kwa uchumi kukua, harafu unasema 'tumebuni' vyanzo vya mapato!

Tutafute njia za kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi, huko ndiko akili yetu itumike na kuumia sana. Na si kutafuta njia za kufanya unyang'anyi daily.

Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.

Anamaliza kwa kusema; uporaji hufanya kiongozi achukiwe. Na katika mambo ambayo kiongozi anatakiwa kujiepusha sana ni kuchukiwa na kudharauliwa.


Phd ya Mwigulu thesis yake ilikuwa; "kuongeza kipato kwa Uporaji uliohalalishwa na sheria"
 
Sasa ukiongeza kodi ndiyo umebuni nini? Kuna ubunifu gani hapo?

Badala ya kuumiza kichwa uchumi ukue ili uweze pata kodi ya kutosha wewe unaongeza kodi, ambayo nayo ni hatari kwa uchumi kukua, harafu unasema 'tumebuni' vyanzo vya mapato!

Tutafute njia za kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi, huko ndiko akili yetu itumike na kuumia sana. Na si kutafuta njia za kufanya unyang'anyi daily.

Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.

Anamaliza kwa kusema; uporaji hufanya kiongozi achukiwe. Na katika mambo ambayo kiongozi anatakiwa kujiepusha sana ni kuchukiwa na kudharauliwa.
wanachojua ni kuongeza kodi pekee hawana ubunifu
 
Huyu maza inabidi apate washauri sahihi kama akina MO, GSM, Manji, Bakherasa n.k wengine, aachane na wachumi fake akina Mwigulu ni wachumi wa makaratasi tupu.
 
Hebu tuambie mapato ya Gas mtwara yanaenda wapi?Hicho ni moja ya chanzo cha mapato.
Mapato gani ya gas wewe mbumbumbu? Gas inachimbwa na mwekezaji anaiuzia Tanesco wanazalisha umeme, nyingine TPDC wanasambaza kwenye viwanda sasa hapo wewe unaona kuna mapato gani ya maana wewe kima?

Hiyo gas Ili iwe na tija ni laza iwe LPG ,hiyo tech na mtaji wa kufanya hivyo unavyo?

Kuna madini ya kila aina lakini shida ni ile ila hakuna mitaji wala tech,wewe ulipo hapo huna hata laki tano ya Kuanzisha katakana ya kuchomelea mageti unaropoka mambo ya Madini.

Ili Nchi ihame kwenye mikwamo kama hii lazima maumivu yatoke kukabiliana na hali hizo,hakuna maendeleo ya bure au ya bila jasho.
 
Mwigulu amewahi kufanya biashara hata ya vitumbua kweli?


Angekuwa kafanya biashara hiyo bila shaka angalikuwa anajua ugumu wa kutafuta pesa hivyo angalikuwa anajua uchungu watu wanaopata kutokana na hiyo kodi ya WIZI wanayotufanyia.
 
Back
Top Bottom