Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni mpuuzi tu hana maana yoyoteAngekuwa kafanya biashara hiyo bila shaka angalikuwa anajua ugumu wa kutafuta pesa hivyo angalikuwa anajua uchungu watu wanaopata kutokana na hiyo kodi ya WIZI wanayotufanyia.
Na hiyo tozo wanakwenda kufanyia maonyesho badala ya kufanyia miradi productiveSasa ukiongeza kodi ndiyo umebuni nini? Kuna ubunifu gani hapo?
Badala ya kuumiza kichwa uchumi ukue ili uweze pata kodi ya kutosha wewe unaongeza kodi, ambayo nayo ni hatari kwa uchumi kukua, harafu unasema 'tumebuni' vyanzo vya mapato!
Tutafute njia za kutumia rasilimali zetu kukuza uchumi, huko ndiko akili yetu itumike na kuumia sana. Na si kutafuta njia za kufanya unyang'anyi daily.
Niccolo Machiaveli anasema kiongozi anatakiwa kuepuka sana kuwa mporaji. Anasema mtu anaweza sahau kifo cha baba yake lakini hawezi sahau akiporwa mali aliyoachiwa naye.
Anamaliza kwa kusema; uporaji hufanya kiongozi achukiwe. Na katika mambo ambayo kiongozi anatakiwa kujiepusha sana ni kuchukiwa na kudharauliwa.
Kodi kwenye miamala ilikuwepo kabla . Kilichofanyika ni uporaji tu wa hela za wanaotumia miamala! Hapa cha msingi Kila mtu aangalie urahisi wa maisha yake . Mimi kwa upande wangu nimeona Bora nitumie njia ya benkiWe unaona kodi ya miamala si ubunifu? FAILED STATE kila mtu ni kambale, na maza alivyosoft watu wakibweka anaufyata.
Kodi za miamala ni miongoni mwa kodi laini mtu analipa bila kuumia kivile. Ni kama serikali ilivyofuta road licence za watu kujisweka kama magunia mmejipanga eti mnaenda kulipa TRA. Walivyoamua kuiweka iwe automatic kwenye kununua mafuta watu tunalipa bila hata kustuka.
Bottom line ni kwamba kila mtanzania lazima achangie maendeleo ya nchi yake, ni namna gani bora ya kufikia hapo ndio ubunifu huo unatakiwa.
PhDMwigulu amewahi kufanya biashara hata ya vitumbua kweli?
Hopeless kabisa