Wakiambiwa wabuni vyanzo vya mapato wanafikiria kuongeza kodi?

Na hiyo tozo wanakwenda kufanyia maonyesho badala ya kufanyia miradi productive

 
Kodi kwenye miamala ilikuwepo kabla . Kilichofanyika ni uporaji tu wa hela za wanaotumia miamala! Hapa cha msingi Kila mtu aangalie urahisi wa maisha yake . Mimi kwa upande wangu nimeona Bora nitumie njia ya benki
 
Li nchi likuubwa ardhi tele,limezungukwa na maziwa na bahari cha kufanyia hawaoni wanategemea vikodi vya maskini wasiofika mil 30(wanaofanya miamala) aibu na ufukara mkubwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…