Uchaguzi 2020 Wakianguka Wapinzani wote katika ngazi ya Urais na Ubunge ni hatua nzuri ya kuchukua nchi mwaka 2025

Uchaguzi 2020 Wakianguka Wapinzani wote katika ngazi ya Urais na Ubunge ni hatua nzuri ya kuchukua nchi mwaka 2025

Kwa tetesi nilizopata kwa Jimbo la mbeya ambalo tayari CCM Walikuwa na mtaji wa madiwani 16 waliopita bila kupingwa mpaka usiku huu tayari wameisha shinda katika kata tano ambazo majuimuisho ya matokeo yake yamekamilika, hii maanayake ni kuwa , CCM mpaka sasa wanamadiwani 21 katika ya 36 wa jiji zima la mbeya, kwa lugha nyingine, halmashauri ya jiji la mbeya iko CCM tayari.

Ilikuwa ni ngumu kwa upinzani kuchukua nchi kipindi ambacho rahisi kashaongoza miaka 5, na wanaosimamia uchaguzi ni katika TEUZI zake. Lakin kama mwaka huu upinzani wote wakakosa kisha wananchi wakaonja joto ya jiwe ya kukosa mawazo mbadala ya uwakilishi bungeni itaongeza hasira zaidi kwa wananchi uchaguzi ujao ambao hautakuwa tena na rahisi anayeshindana tofauti na sasa.

Wapinzani wanatakiwa waone kama hii no atua nzuri kielekea ushindi sabab kila giza linapozidi alfjri inakaribia. Kama wapinzani kushinda baadhi ya majimbo kunatoa nafasi kwa watawala kupata cha kusema kwa wananchi kwamba walikwamwisha kuleta maendeleo sabab ya wapinzani japo inajulikana ni ngumu kwa nchi yenyewe watu zaidi ya milion 60 kuwa na uwiano sawa wa maendeleo kwa kipindi kifupi cha miaka mitano kwanchi yenye bajeti ya mendeleo chini ya asilimia 40 kwa mwaka.

Kwaiyo ni hatua nzuri kwenu wapinzani. Hongereni kwa kushindwa kwasabab kesho mtashinda. Hongera sugu, hongera mbowe hongera msigwa hongera halima hongera heche kesho ni nzuri kuliko leo.

Naomba kuwakilisha.

Sahau kuhusu uchaguzi 2025 labda 2040.
 
Uchaguzi wa mwaka huu lengo ni kuifutilia mbali CHADEMA ili upinzani wa kweli uzaliwe Tanzania
 
Hao wananchi hata wakuteswa kuna hasara gani ndio aina ya maisha waliyochagua
 
Mleta mada inaonekana huijui siasa naona una ongea ongea tu.
Hivi unajua madhara ya kiuchumi ya chama kupoteza wabunge wengi?
Unajua kama vyama vya siasa vinategemea Ruzuku kujiweka imara na kujiendesha?
Unajua kuwa Wabunge wa CDM walikuwa wanachangia mamilion ya pesa kwenye chama kwa mwezi?
Unajua athari za kukosa wawakilishi bungeni?

Believe me baada ya uchaguzi Kuna vyama vinaenda kufa kabisa kwa kuyumba kiuchumi hata pesa za kulipa Kodi za majengo ya ofisi zitakosekana kabisa.
 
Jipangeni labda 2040.Mliambiwa upinzani ulishakufa siku nyingi mlishupaza shingo zenu. Ona sasa mlivyovuliwa nguo hadharani, aibu tupu.
 
Hakuna kitakachotokea nendeni ze hegi mkafanye utalii, mkumbuke kuvaa barakoa , kuvaa barakoa na kunawa mikono mara kwa mara mkiwa huko kwa mabeberu
tupo na wote ni watanzania bila kujali itikadi zetu...ila tuombe hao wabunge wenu wawe na utashi, wakawatumikie wananchi kama katiba inavyo wataka na sio wakawe watetezi wa serikali kwa kila jambo bali wakawe wakuishauri serikali🙏🙏🙏 Mungu ibariki Tanzania ✔
 
tupo na wote ni watanzania bila kujali itikadi zetu...ila tuombe hao wabunge wenu wawe na utashi, wakawatumikie wananchi kama katiba inavyo wataka na sio wakawe watetezi wa serikali kwa kila jambo bali wakawe wakuishauri serikali🙏🙏🙏 Mungu ibariki Tanzania ✔
Siku ya kwanza ya bunge itakuwa ni kupongezana kwa kurudi bungeni, tena bunge linaweza kurudishwa live kabisa ila kuwakera kabisa.
 
Siku ya kwanza ya bunge itakuwa ni kupongezana kwa kurudi bungeni, tena bunge linaweza kurudishwa live kabisa ila kuwakera kabisa.
Kwa taarifa yako hatokwepo wa kukereka na mambo zenu maana tayari mmeshakera vyakutosha kwa kuharibu pesa ya watanzania kwa kutuletea uchaguzi wa maigizo😠😠😠
 
Kwa tetesi nilizopata kwa Jimbo la mbeya ambalo tayari CCM Walikuwa na mtaji wa madiwani 16 waliopita bila kupingwa mpaka usiku huu tayari wameisha shinda katika kata tano ambazo majuimuisho ya matokeo yake yamekamilika, hii maanayake ni kuwa , CCM mpaka sasa wanamadiwani 21 katika ya 36 wa jiji zima la mbeya, kwa lugha nyingine, halmashauri ya jiji la mbeya iko CCM tayari.

Ilikuwa ni ngumu kwa upinzani kuchukua nchi kipindi ambacho rahisi kashaongoza miaka 5, na wanaosimamia uchaguzi ni katika TEUZI zake. Lakin kama mwaka huu upinzani wote wakakosa kisha wananchi wakaonja joto ya jiwe ya kukosa mawazo mbadala ya uwakilishi bungeni itaongeza hasira zaidi kwa wananchi uchaguzi ujao ambao hautakuwa tena na rahisi anayeshindana tofauti na sasa.

Wapinzani wanatakiwa waone kama hii no atua nzuri kielekea ushindi sabab kila giza linapozidi alfjri inakaribia. Kama wapinzani kushinda baadhi ya majimbo kunatoa nafasi kwa watawala kupata cha kusema kwa wananchi kwamba walikwamwisha kuleta maendeleo sabab ya wapinzani japo inajulikana ni ngumu kwa nchi yenyewe watu zaidi ya milion 60 kuwa na uwiano sawa wa maendeleo kwa kipindi kifupi cha miaka mitano kwanchi yenye bajeti ya mendeleo chini ya asilimia 40 kwa mwaka.

Kwaiyo ni hatua nzuri kwenu wapinzani. Hongereni kwa kushindwa kwasabab kesho mtashinda. Hongera sugu, hongera mbowe hongera msigwa hongera halima hongera heche kesho ni nzuri kuliko leo.

Naomba kuwakilisha.
Kama sheria ya uchaguzi itabakiki kama ilivyo sasa hivi CCM itatawaka milele. Shida iliyopo so kwa Watanzania kutochagua wapinzani bali ni kwa watawala kutopenda upinzani.
 
Kikwete siyo Magufuli. Magufuli ni dikteta. Kura zimepigiwa nje ya vituo na kuletwa kwenye vituo katika mabegi. Ushahidi umeuona. Halafu unajifanya eti unatoa ushauri! Makaratasi yaliyokamatwa siyo feki. Yametoka NEC. Na ni nchi nzima. Unajua hivyo.

Mishahara kutokuongezwa, kikokotoo cha wastaafu, mikopo ya elimu ya juu na marejesho yake, matibabu kwa wazee, watu kufa na kupotea, nk nk siyo real issues kwa Watanzania? You must be joking. Angalau umekiri kuwa nuna NECCM na PoliCCM.
Huku ni kujifariji bila kuangalia uhalisia wa historia. Chadema wakati inapigia kelele real issues zilizokuwa zinawagusa watu, ufisadi, ezembe serikalini, huduma mbovu, nk., chati yake ilikuwa inapanda na kuongeza idadi ya wabunge kila uchaguzi, pamoja na kuwepo kwa neccm, policcm, nk. Chama kijitafakari.
 
Kikwete siyo Magufuli. Magufuli ni dikteta. Kura zimepigiwa nje ya vituo na kuletwa kwenye vituo katika mabegi. Ushahidi umeuona. Halafu unajifanya eti unatoa ushauri! Makaratasi yaliyokamatwa siyo feki. Yametoka NEC. Na ni nchi nzima. Unajua hivyo.

Mishahara kutokuongezwa, kikokotoo cha wastaafu, mikopo ya elimu ya juu na marejesho yake, matibabu kwa wazee, watu kufa na kupotea, nk nk siyo real issues kwa Watanzania? You must be joking. Angalau umekiri kuwa nuna NECCM na PoliCCM.
Malalamishi yenu ni zilipendwa, kila mwaka hivihivi
 
Mtihani uliopo Ni kuwa baada ya hapa tutafika mbele au ndio maisha yanakuwa yaleyale
halo nikifikiria ni hatari tupu mana Magu katumia nguvu kubwa kujinadi kiasi kwamba naona nusu ya ahadi ni Hewa. yeye alitaka apate akamilishe ngwe yake akajilie Kuku chato ikiisha. Hata km mimi ningekuwa yeye ningechomekea Na kauongo mradi nipate kura ya mpinzani
 
Tatizo la wapinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu. Uchaguzi huu walikuwa wanapinga maendeleo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalilia. Ndio maana wananchi wameendelea kuwakataa.
Haya sasa imekuwa ccm pekee yake, naamini hakuna wa kuwapinga tena, sukari itashuka bei, maji kila kijiji, barabara lami kila kona etc
 
Mpango hauanzii mwanzo kwenda mwisho ila mwisho kisha kutengeneza mwanzo
yaani "zinapangwa results zinazohitajika then actions ndo hufuatia ili kuhakikisha results zinapatikana na katika hili vikwazo vyovyote vya kufanikiwa kwa mkakati huainishwa ili kudeal nazo vizuri"..

Think deeper
Asante sana
Nalog off
 
Back
Top Bottom