Wakili ajitoa kesi ya Sabaya, asema analinda maadili yake

Kesi ya kubumba tu.

Free Sabaya.
 
Huyu Sabaya wamkandike miaka 30 mingine yaishe, tumechoka habari za kesi yake ya kujitakia kwa upuuzi wake mwenyewe!
 
Ungekuwa unayajua maadili yanayosimamia taaluma ya uwakili wala usingeandika hivi
 
Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Kua mkweli na nafsi yako yaan kwa kulinganisha kesi ya mbowe (labda) na ushahidi wa sabaya ni kweli sabaya anahitajika uraiani?
 
Ilitakiwa mambo aliyoambiwa wakili na mteja wake umuulize wakili kisha uje na facts. Ndiyo utokee hapa jukwaani kuandika haya uliyoyaandika. Tofauti na hivyo tunakuchukulia kwamba wewe ni muongo tu.

Wewe ni mmbeya tu. Unajua kitu kinaitwa attorney-client priveledges?? Moja yake ni kuwa mashauriano kati yao kwa siri ni haki yao. Hata Jaji/Hakimu wa kesi husikaa hawezi kutaka kujua lakini asiyehusika anataka ajue.

Nikukumbushe kidogo, umeshawahi kusikia chamber court?? Au umeshawahi kusikia jahi akiita mawakili ofisini kwake kuteta kidogo?? Sio kila jambo ni for public consumption!!!
 
Kulinda maadili maana yake kuna vitu alikuwa analazimishwa kufanya kinyume na taratibu za kazi yake, Sabaya atubu kwa Mungu wake na amuachie yeye hatma yake, aliyoyafanya alivuka mipaka.
Aende pia kuomba msamaha kwa kila aliyemtendea ubaya na kuwalipa wote aliyowadhulumu. Atafanyika kuwa mtu mpya.AMEN
 
Kulinda maadili maana yake kuna vitu alikuwa analazimishwa kufanya kinyume na taratibu za kazi yake, Sabaya atubu kwa Mungu wake na amuachie yeye hatma yake, aliyoyafanya alivuka mipaka.

Laiti watu wengi tungejua, hii ndo suluhisho la mambo na matatizo mengi tunayopiti
 
Ni haki yake kujitoa
 
Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Double standards kivipi wakati kila mmoja ana/alikuwa na kesi yake?
Wataka kuchangaya nazi na palachichi?
 
Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard
Unamsamehe vipi jambazi ambaye bado ameshikilia mali za watu? Uanze moja na nani kwani kuna jambazi mwingine amesamehewa?
 
Sabaya naye asamehewee ili tuanze mmoja, hata kama ni chungu kumeza hii, ndiyoo ili pasiwepo na double standard

Hiyo double standards unalinganisha na nani? Labda Makonda.!
 
Kumtetea bashite au Sabaya mahakamani ni kumlia bure pesa zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…