Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Hatua zimeshaanza kuchukuliwa na serikali pamoja na wananchi. Nyingine zitafuata. Time will tell!Dalili zote ni kuwa Hawa watashupaza shingo. Tunafanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatua zimeshaanza kuchukuliwa na serikali pamoja na wananchi. Nyingine zitafuata. Time will tell!Dalili zote ni kuwa Hawa watashupaza shingo. Tunafanyaje?
Wametumwa,sio wao jamani.Polisi wasumbufu tu.
Hawajui sheria, wanamuita wakili kumuhoji kwasababu amefuata sheria.
Number 4 is on right to be heard Mkuu. Baada ya kusikiliza pande zote uamuzi utatolewa. Haiwezekani Mkataba uungwe mkono au ukataliwe na kila mtu. Hizo ni hoja zangu-kwa nilichobarikiwa na Mungu siwezi kucopy na kupaste hoja za mtu yeyote. Na sijawahi kufanya hivyo popote pale.Wewe mwanasheria, hoja zako namba 2 na 4 huoni kama zinakinzana?
Nina wasiwasi hizi hoja zako ume copy & paste somewhere!.
Huwezi kusema sauti za wanaounga mkono ule ubovu zisipuuzwe [hoja # 4], ikiwa umeshakiri mkataba una mapungufu ya wazi { hoja #2} sasa unataka sauti zinazounga mkono ule ubovu zichukuliwe zipelekwe wapi?!
Usimlaumu paka.Polisi wasumbufu tu.
Hawajui sheria, wanamuita wakili kumuhoji kwasababu amefuata sheria.
Ndio akili zenu sisiem hiziWam sponge japo kidogo sunna!
😁😁
Wam sponge japo kidogo sunna!
[emoji16][emoji16]