Wakili Boniface Mwabukusi aitikia wito wa Jeshi la Polisi, afika kituoni

Number 4 is on right to be heard Mkuu. Baada ya kusikiliza pande zote uamuzi utatolewa. Haiwezekani Mkataba uungwe mkono au ukataliwe na kila mtu. Hizo ni hoja zangu-kwa nilichobarikiwa na Mungu siwezi kucopy na kupaste hoja za mtu yeyote. Na sijawahi kufanya hivyo popote pale.
 
Wamuite na Manara kumhoji, alidiriki kusema Bandari ni mali ya Waarabu na watanzania wengine haiwahusu bali inawahusu wazaramo na washomvi. HUU ILIKUWA UBAGUZI MKUBWA SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…