Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Maneno mazito mno,
Nina uhakika huko ndani sasa hv wanatafutana kwa fukuto, punde kuna watu hawataweza kabiliana na hili fukuto na hapo watajitenga, wazalendo watagoma kuchangamana na wezi na mpasuko utaanzia hapo!
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Halafu inaonekana hata sheria hajui, Tanganyika haipooooo
Halafu hili jina hili tz hakuna majina ya hivi
 
Watoto lainilaini wapenda mshedede wapenda masihara ya kifedhuli wanatuuza kweli miguvu sio kila kitu.
 
At least he's trying to address the elephant in the room, what have you done?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Ulimboka mtupu zaidi anaongea kwa jazba huyu jamaa.

"Uongeeni ukweli hata kama ni mchungu kiasi gani kwa watawala"

Wanahitajika akina Mwambukusi zaidi ili kunogesha mjadala wa Tanganyika yetu.
 
Mwanasheria gani hata hajui kama Tanganyika haipo?
 
Daah nilikua nafikiria mchana badala ya viongozi kutengeneza Ajira za vijana kupitia hata hiyo Bandari wao wapo busy kuuza unawakuta mtaani wengine wapo na boda boda na degree zao huku watoto wa Bandari wakipepa tuu...
 
Katiba yetu ndiyo inasema hayo uliyoyaandika hapo chini au umetoa maoni yako kuhusu katiba inavyotakiwa kuwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…