Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Ali Karume kasema Hussein Mwinyi mtanganyika anauza mali ya Zanzibar. Kwa habari za mitandao wanasema yupo chini ya ulinzi Msasani
Ali Karume nae ni Mnyasa wa Malawi, Zanzibar haina mwenyewe japo wakazi wa huko wanajishau kuwa ni yao, Wazanzibar wote ni wahamiaji, wametoka bara na nchi za jirani wengine wametoka kwa wajomba zetu Uarabuni,wengine Comoro ,China ,India. Zanzibar wapoWasukuma ,Wanyamwezi,Wadigo,Wakwere,Wanyakyusa, Zanzibar haina mwenyewe hata hawa akina Jussa ni wahindi weusi.
 
Ila kuongea ukweli unawaacha serikali uchi ,wanadhani wametukanwa
Wakili Boniphace Mwabukusi amekuja kwa ghafla. Huyu ndiye man of the moment. Anaongea kwa mode ya kiuchungaji kwa kufoka anapojenga hoja zake.

Anyway ngoja tuone hatma yake japo kazidisha matusi na dharau
 
Nimemwona jana Masauni kwenye taarifa ya habari akipiga mkwara kwamba watu wasitumie uhuru wa maoni vibaya, nikajiuliza kumbe kutumia uhuru wa maoni vibaya ni kupinga kuuzwa kwa bandari zetu ambazo kimsingi ni mali za wananchi wa Tanganyika?

Bandari za Tanganyika ni mali ya wananchi wa Tanganyika na ni roho ya uchumi wa Tanganyika, inakuwaje ghafla mwarabu ndo apewe haki ya kumiliki bandari za Tanganyika huku mtanganyika abaki na wajibu wa kumrahishisa mwarabu kuendelea na uwekezaji wake wa milele?

Wananchi wanapotoa maoni ya kupinga rasilimali zao kuuzwa au kugawiwa kwa wageni bila ridhaa yao kwa nini hilo litafsiriwe kama kutumia vibaya uhuru wa maoni? Hii haiwezi kuwa haki hata kidogo.
 
Kulipwa malipo mpeleke takukuru,ukiwa umejipanga na fact za kisayansi na sio maneno kutoka kwenye hewa

 
A
Acheni kukumbatia makaa ya moto, ni muda sasa wa kuruhusu watu wajadili huu muungano na katiba kwa ujumla tunakoelekea tutakuja kushtuka mambo yakiwa ni magumu zaidi, serikali tatu ni suluhusho. Mengineyo huko mbele ya safari mtawaua wengi
Mambo mengi hayatakiwi kujadiliwa kwa ujumla wake hadharani kwa sababu za kiusalama.
Hata hivyo, tunahitaji viongozi smart kwa Muungano imara na Mustakabali mwema wa Tanzania.
Siasa zetu zimejaa ujinga na hivyo hoja hujibiwa kijingajinga.
Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
Chama cha Mapinduzi kinahitaji kutumia watu wenye akili nzuri, busara na weledi kujibu hoja za msingi. Comedians watumike kwa burdani tu.
 
NI upuuzi kuja kuruhusu atokee tena rais wa aina hiyo
 
Katiba yetu ndiyo inasema hayo uliyoyaandika hapo chini au umetoa maoni yako kuhusu katiba inavyotakiwa kuwa?
Nimefurahi umepitia comments, hongera, ni kwamba katiba ni mbovu,

Hayo hapo ni maoni/ au ingefaa iwe hivo.
 
Kama Tanzania ni moja kwanini Zanzibar wanajitambulisha kama nchi?
Muungano gani Mtanganyika anabaguliwa Zanzibar hasa kwenye ajira na umiliki wa ardhi?

Katika muungano huo kulikusanywa maoni ya wananchi kuwa wanauhitaji?

Itoshe kusema kwamba huu muungano ni wa viongozi na sio wa wananchi.
 
Mwehu huyu. Anajilengesha ili akijikwaa tu akaanguka aanze kuleta ngonjera za akina Nshalla kuwa anataka kuuawa.
 
Aisee

Wanasemaga mbuyu ulianza kama mchicha!
Nikuulize wewe unaweza kujua hili:
Kamati Kuu ya CCM ina wajumbe wangapi toka Zanzibar?

Inavyo onekana sasa hivi ni kuwa CCM Zanzibar ndiyo inayoendesha maswala yote yanayoihusu Tanganyika.
Inabidi sasa hili nalo tulitambue vizuri.

Nitumie fursa hii pia, kusema kwa uhakika kabisa, kwamba Samia ndiye atakayekuwa mZanzibar wa mwisho kuitawala Tanganyika. Haitatokea tena mwingine.

Mkuu 'johnthebaptist', nasubiri jibu la swali langu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…