Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Umeelewa hata anachopinga?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Dah!

Hilo la "ngiri na mkia juu" umechora picha isiyosahaulika kirahisi.

Huenda unakipaji cha kufundisha vizuri sana, bali hukitumii hicho kipaji ipasavyo.
 
Mpumbavu sana huyu Mwabukusi. Nyakati za JPM asingethubutu kufungua mdomo wake kama anavyofanya muda huu.

Siku nyingi tu tungekuwa tumesaini mikataba ya uwekezaji pale ikulu na media zote zingeimba mapambio. Leo anaongea kwa sauti ya juu ni kwa sababu mamlaka za juu zimempa uhuru wa kufanya hivyo.
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Amiri jeshi mkuu Mtanganyika?
 
Nikueleze kwa uhakika kabisa, Samia ndiye mZanzibar wa mwisho kuitawala Tanganyika. Hatatokea mwingine tena.

Hili unaweza kulipeleka benki ukadai kitita juu yake jinsi lilivyo la uhakika kamili.
 
I love this good thinking 🙏🙏🙏
 
Safi kabisa wakili Mwambukusi.
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Mentality ya kijinga sana hii,usitishe watu,toa hoja yako ipambane na hoja zake!
 

Mkuu,

Ukakasi uko wapi hasa.....? Nimeisikiliza hotuba nzima, Watanzania hawapendi viongozi kuambiwa ukweli...Kasema Waziri Mkuu asiaminike....Wewe una mwanini Waziri Mkuu? Kadanganya katika mambo mengi....! Kama ungeweza kupata hotuba wakati wa kupigania uhuru wetu....Ukiwasikia akina Bibi Titi na wengine wengi, labda ungekuja na mawazo tofauti! Nisaidie Mkuu kuhusu ukakasi wa Mwabukusi......labda sikumuelewa...
 
Hakuna jipya hapo Nyerere alishayaona haya..mkipata Tanganyika mtaanza huyu dini gani..huyu wa kanda gani?..dhambi ya ubaguzi haijawahi kumuacha mtu salama

Unataka Watanganyika wabaguliwe mara ngapi! Mkataba wa DP wenyewe umeitenga Zanzibar isihusike....ila kama ina faida itaingia kwenye kapu la Muungano...Huoni ni ujinga mkubwa Mkuu...! Nena Zanzibar utajua maana ya Ubaguzi...
 
Hahahahah kumbe watu bado mna akili za hovyo kiasi hiki. Sasa alichokosea ni kipi huyo bwana. Ametoa maoni yake kama raia wa Kitanzania. Ama uhuru wa maoni hakuna tena kwenye awamu hii kama mlivyojinasibisha awali?

Mkuu,

Watanzania tuna safari ndefu ya kuleta mabadiliko Mkuu.....Serikali na viongozi ni miungu.....hawakosei...na hawataliwi kuguswa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…