Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Kwenye mpira wa miguu kuna mashuti yale yanayopigwa kutoka mita 18 wakati huo kipa anakuwa kasogea kidogo mbele ya goli hategemei kama shuti litapigwa sàsa uone jinsi anavyohangaika.
 
Hivi watu wasiojulikana wameshaisha au siku mwendo wa mahakamani!
 
Wapatikane watanganyika majasiri kama huyu, wawe wengi wa kutosha kabisa. Maneno mazito kwa sie waoga, ila yana uzito.
 
Huyu ni mwanasheria, anajua sheria, anajua Katiba ya nchi halafu anazungumza maneno makali namna hii? Hii paragraph ya tano inasikitisha sana. Hivi huu ni uhuru wa kutoa maoni? Hebu tuwe na heshima, hekima na busara ktk masuala ya nchi. #Muungano hauvunjiki ng'oo.🙏🙏🙏
 
Huyu jamaa nimemkubali sana na napenda sana kumsikiliza. Huyu ni mmoja wa vijana aliowatabiria mwalimu J. K Nyerere kwamba anataka Tanzania iwe na vijana jasiri wenye kuhoji mamlak kwa facts bila uwoga wowote
 
Acha habari za vijiweni. Na vitisho vya kijinga. Eti kiporo!!
 
Tunawaomba sana asidhulike wakili msomi kwani huyu ndiye mboni yetu sisi watanganyika au vinginevyo mtaleta machafuko
Machafuko? toka barabarani halafu utajuwa maana ya machafuko, kwa kuwa bado imejificha humu na ID fake endeleeni tu ila siku mkijion vidume tokeni hadharani halafu ndio utajuwa kumbe kuna serikali.
 
Wapatikane watanganyika majasiri kama huyu, wawe wengi wa kutosha kabisa. Maneno mazito kwa sie waoga, ila yana uzito.
Mbona mko wengi humu na mnatukana kumbe majasiri hawafiki hata 20?
 
Hamna red line yoyote, Mama yenu hatafanya chochote anaogopa Wamarekani na vyombo vya usalama wanajua hawana mtetezi pale.
Sasa mnashindwa nini kutoka barabarani, tokeni halafu ndio utajuwa shughuli zetu, hakikisha umeaga kwenu vizuri.
 
Yuko sawa kabisa. Sema Bongo tumekuwa na tabia za Uoga Uoga. Hata humu jukwaani tunaendelea Uoga.

CCM na serikali yake wameshindwa kujibu hoja za msingi. Waziri Mkuu yuko busy wanapotosha halafu anasingizia wengine kuwa wanapotosha.
 
wameyataka wenyewe. ameongea mambo yoote sahihi, na ukweli ni kwamba, hicho alichoongea ndicho kilichojaa kwenye mioyo ya Watanganyika. ila kwa mbali wanafanya unafiki kwasababu walijengewa hofu tangu enzi za nyerere, hadi leo, na kuiacha Tanganyika inapotea na zanzibar inaneemeka kutokana na Tanganyika.
 
Sijaelewa unatafuta namba ya majisiri au nini?
Tuwaone barabarani halfu tutajuwa kiwango chenu cha ujasiri. Fanyeni yote lakini mtu akitaka kutuletea uchafu katika nchi yetu hii ya amani atashughulikiwa hata family yake siku ya kukuaga watakukana kama wanakujuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…