Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Hahahahah kumbe watu bado mna akili za hovyo kiasi hiki. Sasa alichokosea ni kipi huyo bwana. Ametoa maoni yake kama raia wa Kitanzania. Ama uhuru wa maoni hakuna tena kwenye awamu hii kama mlivyojinasibisha awali?
 
Wakili Boniface apewe ulinzi ,asiwaamini tena watu wake wa karibu wasije kumpa Polonium210.

Huyu Jamaa alikuwepo wapi siku zote? Alichelewa sana Kuja ,ndiyo maana tunasema hauwezi kuzuia watu kusema kwa kuua ,ukiua mmoja anazaliwa mwingine ,wamemuondoa Ben Saanane lakini wapo watu wanakuja mwendo wa ngiri mkia juu.
 
Huyu namfaninisha na mchungaji Mtikila 🤣!!! Ame reincarnate
 
Makes sense.
Walioutengeneza mkataba DP World:

Rais :Mzanzibar
Waziri Ujenzi :Mzanzibar
Katibu Mkuu Ujenzi: Mzanzibar

Bandari za Zanzibar: haziuzwi!

The country(Tanganyika) has gone to the dogs!
 
Huyu namfaninisha na mchungaji Mtikila 🤣!!! Ame reincarnate

Daah Jamaa anaongea hadi unaogopa VOCAL ya hatari ina bonge la Punch ,lazima waelewe tu.

Watu wanashindwa kutofautisha nini waTZ wanataka ,tatizo siyo DPW world kuwekeza Bandarini tatizo ni Kwenye mkataba wa kichifu mangungo wa kuuza bandari tena wauzaji wa mali za tanganyika ni kina AMIJEI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…