Jibu Kwa hoja cha kutisha watu,hakuna atakayeishi milele ukiwepo wewe!anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu Kwa hoja cha kutisha watu,hakuna atakayeishi milele ukiwepo wewe!anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Hatari sana…….Wazanzibari wamelikoroga lazima walinyweDaah Jamaa anaongea hadi unaogopa VOCAL ya hatari ina bonge la Punch ,lazima waelewe tu.
Watu wanashindwa kutofautisha nini waTZ wanataka ,tatizo siyo DPW world kuwekeza Bandarini tatizo ni Kwenye mkataba wa kichifu mangungo wa kuuza bandari.
Timalize Kwanza suala la bandari ni suala mtambuka.Amechelewa sana na hataweza kumzuia Mzanzibar mwingine yoyote yule endapo kama atajitokeza mwingine ambaye anataka kufanya hayo yaliyofanyika.
Suluhisho pekee la kudumu ni wananxhi wenyewe wa Tanzania kushikamana kwa pamoja na kupigania upatikanaji wa Katiba Mpya itakayotokana na mawazo au maoni yao wenyewe wananchi.
yeye si anamamlaka ya kuongea. sasa kuna wenye mamlaka ya kuamrisha jambo liwe.Umetumia lugha ngumu sana ya kibabe. Ina maana watu hawaruhusiwi kuongea kitu tofauti na kusifia tu🤣
sawa ila kuna kutangulia. amani ya nchi na usalama ni bora kuliko uhai wa mtu mmoja mjinga anaetaka sifa. hoja zake ashaambia selikali itazifanyia kazi.Jibu Kwa hoja cha kutisha watu,hakuna atakayeishi milele ukiwepo wewe!
huyo mbwa kuna kitu kinamwasha siku si nyingi atapata anachokitafuta. Ameshindwa kupata umaarufu huko mahakamani kwasababu ni kilaza. Amekula pesa za mafisadi wanaofikiri wanaweza kuikwamisha serikali hii, atakwama yeye ngedere. Lengo la hao mambwa ni kuikwamisha serikali na wanatumika na mafisadi wa bandari. Mnafiki mkubwa eti Tanganyika yetu, anaijua Tanganyika huyo fala? Hii nchi haigawanyiki watagawanyika wao.WAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.
"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi
"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi
"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi
"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi
"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi
"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi
"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.
"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi
"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi
"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
wewe inaonekana hata ukitishiwa na manati tayari unakumbatia ukuta na kusomwa jicho ki urahiiisi kabisa madai yako usije tolewa nundu na jiwe la manati. Mambo yenu ya ki bwabwa pelekeni huko kwa wajomba zenu wanaotaka kubeba bandar yetuanachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Magu hatatokea kweli kwani likuwa baguzi, katili, yenye roho mbaya siyo vinginevyo. Binadamu anayefanya watanzania wataabike mpaka sasa hivi kwa kukosa ajira never again hatatokea tenaHata Dunia izunguke mpka ifyatuke Raisi kama Magu hawez tokea Tena
, Wakili anaongea fact tupu ucdhan hakuna anae elewa wote wanaelewa vyema lakn shida hofu waaliojengewa wananchi wanaona kama vile hawan haki ya kuuliza kuhusu rasilimali zao, every Tanganyikan is fully responsible to inquire anything concerning Tanganyika
we mbona siku ya maandamano hukujitokeza umejificha nyuma ya keyboard, kunguru kweliwewe inaonekana hata ukitishiwa na manati tayari unakumbatia ukuta na kusomwa jicho ki urahiiisi kabisa madai yako usije tolewa nundu na jiwe la manati. Mambo yenu ya ki bwabwa pelekeni huko kwa wajomba zenu wanaotaka kubeba bandar yetu
Kwanini aende Mbeya, ni lijitu libaguzi, leo anadai Tanganyika keshao atataka myakyusa awe rais. Huyo ni shetani ni mkabila, mdini, mkanda n.k Natabiri mwisho wake utakuwa mbaya. Wazee wa Mbeya wanahusika vipi na nchi hii, pumbavuWAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.
"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi
"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi
"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi
"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi
"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi
"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi
"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.
"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi
"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.
"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi
"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
zuzu lingineKumbe wazalendo tuko wengi.safi saa.Nakupenda Tanganyika nchi yangu.wazalendo tutamlinda pale wapuuzi wanaouza nchi yetu wakitaka kuhatarisha maisha ya mzalendo mwenzetu
Acha ngebe mtoto wa kike ndo maana huolewi umebaki kuwa nungayembewe mbona siku ya maandamano hukujitokeza umejificha nyuma ya keyboard, kunguru kweli
we uliikuta Tanganyika wakati unazaliwa acheni unafki kutafuta kiki za kipuuzi.Makes sense.
Walioutengeneza mkataba DP World:
Rais :Mzanzibar
Waziri Ujenzi :Mzanzibar
Katibu Mkuu Ujenzi: Mzanzibar
Bandari za Zanzibar: haziuzwi!
The country(Tanganyika) has gone to the dogs!
Angali dudu lingine hili kwa hiyo kufungua kesi mahakama ya mbeya lazima uwe mnyakyusa? Nyani mkubwa weye! Nakukumbusha tu Mwarabu hachukui bandari kama mmekula vya watu jipangeniKwanini aende Mbeya, ni lijitu libaguzi, leo anadai Tanganyika keshao atataka myakyusa awe rais. Huyo ni shetani ni mkabila, mdini, mkanda n.k Natabiri mwisho wake utakuwa mbaya. Wazee wa Mbeya wanahusika vipi na nchi hii, pumbavu
Mjinga nani?we uliikuta Tanganyika wakati unazaliwa acheni unafki kutafuta kiki za kipuuzi.
Hizi ndo akili za watetezi wa mkataba wa DPW! Hamna hoja zaidi ya matusi, vitisho na viroja vya kuokoteza hapa na pale! Watanganyika hawa wameamka siyo wale mliozoea kuwaburuza kama mbwahuyo mbwa kuna kitu kinamwasha siku si nyingi atapata anachokitafuta. Ameshindwa kupata umaarufu huko mahakamani kwasababu ni kilaza. Amekula pesa za mafisadi wanaofikiri wanaweza kuikwamisha serikali hii, atakwama yeye ngedere. Lengo la hao mambwa ni kuikwamisha serikali na wanatumika na mafisadi wa bandari. Mnafiki mkubwa eti Tanganyika yetu, anaijua Tanganyika huyo fala? Hii nchi haigawanyiki watagawanyika wao.
Shambulia hoja, achana na mtu.Kwanini aende Mbeya, ni lijitu libaguzi, leo anadai Tanganyika keshao atataka myakyusa awe rais. Huyo ni shetani ni mkabila, mdini, mkanda n.k Natabiri mwisho wake utakuwa mbaya. Wazee wa Mbeya wanahusika vipi na nchi hii, pumbavu