Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

ukiwa na akili utaelewa ila kama huna huwezi nielewa....

Haya hayawezi KUISHIA kwenye Uzanzibari na Utanganyika tukiyaendeleza YATAISHIA KWENYE UKABILA NA UDINI......

kama unaielewa HISTORIA ya nchi hii unapaswa kuelewa kuna maeneo hatupaswi kuruhusi ni pamoja na kuanza kunyosheana vidole vya KIBAGUZI....
Haya huku ambayo nilikuwa bado sijayasoma ni "UPUMBAVU".

hapo ulipo hata hujui mhusika mkuu wa kuhakikisha hali hiyo haitokei bado humjui?
Hiyo historia unayoikimbilia wewe, unadhani mambo hayo yalijitokeza tu yenyewe bila kuwepo na juhudi za viongozi waliokuwepo wakati huo?
Hawa hapa badala ya kuyadumisha, wanayabomoa, halafu unakuja hapa na kujionyesha ujinga wako jinsi hayo mambo yalivyotengenezwa kwa ufundi mkubwa!
 
Mwanaume toka mbeya kazungumza🙏💪na hakuna wa kufanya lolote, hongera mwakabusi,umetendea haki elimu yako ya sheria.
 
Tuwaone barabarani halfu tutajuwa kiwango chenu cha ujasiri. Fanyeni yote lakini mtu akitaka kutuletea uchafu katika nchi yetu hii ya amani atashughulikiwa hata family yake siku ya kukuaga watakukana kama wanakujuwa.
Mpaka wakutairi kwa chupa ndio ujue watu ni majasiri.
 
Unaweza kuamini chochote ukitakacho, hakuna atakayekuzuia.
Kuhusu mchango wa 'Kalamu' katika haya ya kuliokoa taifa letu, hilo siyo swala linalokuhusu.
Ukiwa ni mchango wenye kuegemea kutoa msaada kwa washindani wetu kibiashara kama Kenya na Msumbiji tegemea hoja zako kupingwa kwa nguvu zote.
 
Huduma za bandari zikija kuboreshwa msiwe wa kwanza kulete unafiki wa kuanza kusifia. Ndio tulivyo watanzania.

Hakuna kitu kizuri kinachokubalika moja kwa moja mbele ya jamii. Huu ni ulimwengu wa kibiashara, wa kukamata fursa za kiuchumi zinazoibuka.

Huu ujinga wa utanganyika na utanzania unaibuka muda huu eti kisingizio ni suala la bandari, that is stupid argument,

Tuache Malawi na Zambia eti wahamie kule Angola wakati bandari ya kisasa yenye ufanisi wa kisayansi ipo Dar.

Hata kama tunatumiwa na watu basi na tuanza kujivua huu ujinga na kuanza kuiona dunia ya ushindani unaotukabili katika mtazamo halisi.

Serikali yako inashindwa kuutetea huo mkataba ! Si Rais, Si Mwanasheria Mkuu! Si Waziri Mkuu! Nani ni mjinga hasa! !Tumepoteza Identity yetu! wao wako intact! Who is stupid really! Kama huoni tunavyoburuzwa na Wanzibari ! Huhitaji kuwa Nabii kujua Nyerere alitengeneza tatizo.....na kama si leo au kesho utaleta majanga! Miaka kama 60 tumeshindwa kabisa kutatua hizo mnazoita kero ya Muungano! Kundi dogo la Wazanzibari lianendesha watu almost 59 Million, Sijaona mtu mwenye akili timamu anatetea upuuzi wa namna hii....
 
Ukiwa ni mchango wenye kuegemea kutoa msaada kwa washindani wetu kibiashara kama Kenya na Msumbiji tegemea hoja zako kupingwa kwa nguvu zote.
Nilishakujibu kuhusu hili, lakini najua upeo wako ni mdogo sana hukumbuki chochote.
Wewe hujui kabisa ninachosimamia na kukiamini juu ya taifa letu hili, ndiyo maana unahangaika tu na kunihusisha na mambo yanayokuijia tu kichwani.
Huna umakini wowote, hilo ni tatizo lako kubwa. Ungekuwa mtu makini ungejua ni wapi ninaposimamia kuhusu swala hilo na nchi hiyo jirani.

Naona umeibuka tu na kuja humu JF kwa sababu ya jambo hili tu la DP World. Inavyoelekea toka huko nyuma hata ulikuwa hujaingia kabisa ndani ya JF anagalau kusoma tu wanayoandika wengine kuhusu maswala mbalimbali yanayohusu nchi yetu.

Ndiyo maana ninasema, kilichokuingiza humu JF hivi karibuni ni maslahi tu yanayokuhusu wewe na DP World.
Pamoja na hayo, tangu uingie humu, inaonyesha pia huna kumbukumbu zozote ya unayojibishana na wachangiaji wengine mbalimbali.

You're not serious.
 
Huduma za bandari zikija kuboreshwa msiwe wa kwanza kulete unafiki wa kuanza kusifia. Ndio tulivyo watanzania.

Hakuna kitu kizuri kinachokubalika moja kwa moja mbele ya jamii. Huu ni ulimwengu wa kibiashara, wa kukamata fursa za kiuchumi zinazoibuka.

Huu ujinga wa utanganyika na utanzania unaibuka muda huu eti kisingizio ni suala la bandari, that is stupid argument,

Tuache Malawi na Zambia eti wahamie kule Angola wakati bandari ya kisasa yenye ufanisi wa kisayansi ipo Dar.

Hata kama tunatumiwa na watu basi na tuanza kujivua huu ujinga na kuanza kuiona dunia ya ushindani unaotukabili katika mtazam

Haya ndio matokeo ya mikataba mibovu:

Ndege ya Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa Uholanzi yaachiliwa kwa kuilipa Eco Energy US$ 165M (403bn Tsh)​

 
Mimi nikae Manzese? uko mzee tafuta level zako za Manzese mzee tafuta pesa umaskini mbaya sana hizo sehemu sio za kuishi, nakupa ushauri wa bure tu.
Ndio walume tunakaa huku usisahau kuja kutairiwa ni muhimu sana
 
Machafuko? toka barabarani halafu utajuwa maana ya machafuko, kwa kuwa bado imejificha humu na ID fake endeleeni tu ila siku mkijion vidume tokeni hadharani halafu ndio utajuwa kumbe kuna serikali.
We mjinga nenda kawatishe hao wajinga wenzako sio mimi kama unamjua huyo serikali mtoa roho niambie niende mwenyewe sasa hivi akatoe roho yangu, ni mjinga mmoja tu kama wewe ambaye anajua ataishi milele
 
Serikali yako inashindwa kuutetea huo mkataba ! Si Rais, Si Mwanasheria Mkuu! Si Waziri Mkuu! Nani ni mjinga hasa! !Tumepoteza Identity yetu! wao wako intact! Who is stupid really! Kama huoni tunavyoburuzwa na Wanzibari ! Huhitaji kuwa Nabii kujua Nyerere alitengeneza tatizo.....na kama si leo au kesho utaleta majanga! Miaka kama 60 tumeshindwa kabisa kutatua hizo mnazoita kero ya Muungano! Kundi dogo la Wazanzibari lianendesha watu almost 59 Million, Sijaona mtu mwenye akili timamu anatetea upuuzi wa namna hii....
Akili za wanaharakati ndizo hizi. Hizo zote ni mamlaka kamili, hazifanyi kazi kwa matakwa ya kwako wala ya kwangu.

Tunajichukulia na kujiona kama watanzania. Kama mlizaliwa baada ya tisini na tano wakati Mwinyi keshaondoka ikulu hilo ni tatizo lenu binafsi.

Tanzania ni nchi moja, rais asipotoka Nachingwea au Mbinga basi atatoka Kiembe samaki au Nungwi. Ndio maana ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mlivyo na akili fupi na chafu mnaitaka Tanganyika wakati huo huo kina Sudan na Ethiopia wanawaza kuwa sehemu ya jumuiya ya Afrika Mashariki na Kati. Poleni sana aisee,
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Kwenye hili hawawezi kufanya kitu chochote cha kijinga ndugu yangu ibanga..

Yaani mwizi kakamatwa ready handed na uthibitisho wa wizi wake, halafu bado alete ujinga tu wa kubisha??

Kuna wakati unaweza kutumia polisi au bunduki kulazimisha mambo..

Lakini huu si wakati wa kutumia njia hizo kwani hazitafanya kazi.!!

Njia sahihi ni kuwa upande wa matakwa ya umma..
 
Back
Top Bottom