Good unajitahidi kuandika kijana nimeipenda hiyo endelea kufanya juhudi.Hiyo ndio kazi yangu ya halali kabisa. Utakaaje Manzese usiuze mitumba. Hiyo Elimu aliyoongeza imekusaudia nini zaidi ya kuja kupiga umbea humu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good unajitahidi kuandika kijana nimeipenda hiyo endelea kufanya juhudi.Hiyo ndio kazi yangu ya halali kabisa. Utakaaje Manzese usiuze mitumba. Hiyo Elimu aliyoongeza imekusaudia nini zaidi ya kuja kupiga umbea humu!
Samia anatumia busara kutowagusa hawa wanaharakati wa leo hii. Ni kiongozi anayeonyesha ushupavu wa hali ya juu.Mwabukusi anachezea Simba sharubu. Atakipata anachokitafuta.
Akianza kusulubiwa huyo mwanasheria msianze kulialia na kumuita Rais SSH dikteta.Uoga na amani za kipumbavu ipo siku vitakoma
Ni vuguvugu la muda tu. Huwa yanakuja na kupita.Hata kama ila lengo limetimia
Kundi kubwa dhidi ya Rais wa Tanzania? Yeye na kundi lake lote wanaweza wakavurugwa.Hakuna atakachokipata 🙏mark my words,Kuna kundi kubwa la #team mwakabusi hadi nje ya nchi,wamguse waone🙏mbeya pride🙏🙏huyo siyo mkimbia shule kama tapel mwamposa🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Aligombea hiko kiti lini?awe mpole,arudi mezan tuzungumze🙏Kundi kubwa dhidi ya Rais wa Tanzania? Yeye na kundi lake lote wanaweza wakavurugwa.
Unashauri afanye nini labda?Huyu mama ataharibikiwa vibaya sana. Mwacheni akae kimya tu
Hatari sana…….Wazanzibari wamelikoroga lazima walinywe
Unesema kweli tupu.Samia anatumia busara kutowagusa hawa wanaharakati wa leo hii. Ni kiongozi anayeonyesha ushupavu wa hali ya juu.
HahahahshhsAnayeongea ni yeye Lakin mimi ndo Naogopa huku.
Mama mvumilivu sana.Samia anatumia busara kutowagusa hawa wanaharakati wa leo hii. Ni kiongozi anayeonyesha ushupavu wa hali ya juu.
numbered for what? To sell our country? We will never surrender for such issue.anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Taratibu mkuu 'cassavaleaves'.Serikali yako inashindwa kuutetea huo mkataba ! Si Rais, Si Mwanasheria Mkuu! Si Waziri Mkuu! Nani ni mjinga hasa! !Tumepoteza Identity yetu! wao wako intact! Who is stupid really! Kama huoni tunavyoburuzwa na Wanzibari ! Huhitaji kuwa Nabii kujua Nyerere alitengeneza tatizo.....na kama si leo au kesho utaleta majanga! Miaka kama 60 tumeshindwa kabisa kutatua hizo mnazoita kero ya Muungano! Kundi dogo la Wazanzibari lianendesha watu almost 59 Million, Sijaona mtu mwenye akili timamu anatetea upuuzi wa namna hii....
thubutu muoneMwabukusi anachezea Simba sharubu. Atakipata anachokitafuta.
kaka nakuelewa elewa.Taratibu mkuu 'cassavaleaves'.
Uamini wangu ni kuwa sasa tumefika pazuri kabisa pa kuung'oa mzizi.
Hapana. Nyerere hakutengeneza tatizo. Waliotengeneza tatizo ni hawa waliofuatia baada ya yeye. Muungano ulivyoanzishwa haukuwa na lengo la kufikia huku tulipo sasa. Hawa viongozi waliofuata chini ya CCM waliyageuza kabisa yaliyokuwa yamelengwa toka mwanzo kuwa matokeo ya muungano wetu.
Ili CCM iendelee kutawala kule Zanzibar, kila jambo lililodaiwa na kile kikundi kidogo cha waZanzibari, waliokuwa wakitishia kujiondoa kwenye muungano kila mara na kuibua kila aina ya zilizoitwa kero za muungano, walipewa zawadi ya rushwa, na CCM hii ili kuwanyamazisha. Haya ndiyo yaliyotufikisha hapa. Nyerere asingekubali upuuzi wa namna hiyo.
Sasa, nilisema hapo mwanzo, kwamba "sasa tumefikia pazuri" na muungano wetu huu, na ashukuriwe Mh. Samia Hassan Suluhu kutufikisha hapa tulipofikia, pengine bila yeye kunuia kufanya hivyo.
Sioni tena ni kwa namna gani, na nani anayeweza kuzuia uwepo wa Tanganyika tena. Hili halizuiliki tena, ingawaje halikuwa lengo, wakati muungano ulipo asisiwa.
Taratibu mkuu 'cassavaleaves'.
Uamini wangu ni kuwa sasa tumefika pazuri kabisa pa kuung'oa mzizi.
Hapana. Nyerere hakutengeneza tatizo. Waliotengeneza tatizo ni hawa waliofuatia baada ya yeye. Muungano ulivyoanzishwa haukuwa na lengo la kufikia huku tulipo sasa. Hawa viongozi waliofuata chini ya CCM waliyageuza kabisa yaliyokuwa yamelengwa toka mwanzo kuwa matokeo ya muungano wetu.
Ili CCM iendelee kutawala kule Zanzibar, kila jambo lililodaiwa na kile kikundi kidogo cha waZanzibari, waliokuwa wakitishia kujiondoa kwenye muungano kila mara na kuibua kila aina ya zilizoitwa kero za muungano, walipewa zawadi ya rushwa, na CCM hii ili kuwanyamazisha. Haya ndiyo yaliyotufikisha hapa. Nyerere asingekubali upuuzi wa namna hiyo.
Sasa, nilisema hapo mwanzo, kwamba "sasa tumefikia pazuri" na muungano wetu huu, na ashukuriwe Mh. Samia Hassan Suluhu kutufikisha hapa tulipofikia, pengine bila yeye kunuia kufanya hivyo.
Sioni tena ni kwa namna gani, na nani anayeweza kuzuia uwepo wa Tanganyika tena. Hili halizuiliki tena, ingawaje halikuwa lengo, wakati muungano ulipo asisiwa.
Inasikitisha sana kuona Tanzania bado kabisa kupokea mawazo kinzani! Tuna safari ndefu mno!thubutu muone
Samia anatumia busara kutowagusa hawa wanaharakati wa leo hii. Ni kiongozi anayeonyesha ushupavu wa hali ya juu.
Yaani mlivyolimwaga huku kwetu toka 1964 kuuwa watu kwa maelfu na kila uchaguzi mnakuja kutuuwa hilo sio korogo ??