Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

Wakili Boniface Mwabukusi: Hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya ovyo kwenye Mali za Tanganyika

anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are numbered.
Mkimuua yeye kuna maelfu wataibuka sasa je mtawauwa wote? Mbaya zaidi mtapandikiza mbegu za uasi na pia mama ni mzanzibari na zanzibar ni nchi kama ilivyotanganyika sasa kwanini zanzibar kuna mambo watanganyika hawaruhusiwi ila huku sisi tunawaruhusu kila kitu? Tanganyika ni nchi kama ilivyo zanzibar acheni watu waisemee nchi yao !
 
WAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.

"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi

"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.

"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
Katumwa lini na Watanganyika kama siyo kutafuta kiki zake mwenyewe.
 
WAKILI BONIFACE MWABUKUSI;KAMA HAMTATUSIKILIZA,TUTAZUNGUMZA LUGHA MTAKAYOTUSIKILIZA,HATUTARUHUSU MZANZIBARI KUFANYA MAMBO YA HOVYO KWENYE MALI ZA TANGANYIKA.

"Wazee wangu wa Mbeya nipo hapa kuwahakikishia Tanganyika hailiwi tena,tutafuatilia hatua kwa hatua kwenye mikataba ya Mali zote za Tanganyika" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba unatakiwa ujisimamie na ujitetee,ila watu wanautetea bila "baseline" za data na facts kwenye mkataba huo,hakuna research wala data, mkataba hauna data ambazo ni measured kisayansi watu wanacheza na maneno tu ambayo hayapo kwenye mkataba" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mkataba wa bandari ni batili, chochote kilichofanywa nje ya sheria na nje ya katiba kirekebishwe" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar,hatutaruhusu Mzanzibari kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Tanganyika,kama ambavyo Mtanganyika hawezi kufanya mambo ya hovyo kwenye Mali za Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Ndoa ya Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ndoa ya utotoni sasa tumekua tunataka tuongee tukubaliane Mali za Tanganyika ziwe chini ya Mtanganyika na Mali za Zanzibar ziwe chini ya Mzanzibari" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu alitudanganya kuhusu kifo cha Hayati Rais John Pombe Magufuli na hajawahi kuomba radhi,na leo anatudanganya kuhusu mkataba wa bandari,akae pembeni kumsaidia Rais" Wakili Boniface Mwabukusi

"Waziri Mkuu atujibu,sheria sura 449 na sheria sura 450 kuhusu Ulinzi wa rasilimali za nchi na kuhusu ushughulikiwaji wa vifungu vyenye utata walizifuata,je vipengele vya mkataba wa bandari vinaoana na vipengele hivi vya sheria yetu" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Waziri Mkuu atujibu,kwa nini bunge linataka kubadili sheria sasa hivi ziendane na mkataba huu wa bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tuliibinafsisha Tanesco kwa Net Solution tulipata faida gani na leo Tanesco ya nani? Tulileta watu TRL wakaishia kubeba vichwa vya treni kurudi navyo India,tulifanya hivyo hivyo kwa NBC kuuzwa bei ya kutupwa,na leo mnatuambia mna muujiza kwenye kuibinafsisha bandari" Wakili Boniface Mwabukusi

"Kama mkataba ni sahihi,Waziri Mkuu anatuambiaje tukusanye maoni,nani anakusanya maoni,yaende wapi,ya nini? kama mkataba tayari umeshapita" Wakili Boniface Mwabukusi

"Wakati nchi yetu ina Kiongozi mwenye element za Uzalendo watu fulani hawakuonekana kabisa,sasa hivi wamerudi wanatukana hadi Mahakama, Watanzania angalieni walioko nyuma ya huu mkataba"Wakili Boniface Mwabukusi.

"Kila uovu juu ya Tanganyika tutaukabili kwa jina lake na kila muovu tutamkabili kwa jinsi anavyokuja,hii ni nchi yetu hatutamuchia mtu mwingine aitetee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Mabadiliko ya sheria yanayokwenda kufanyika ni matusi kwa Tanganyika,narudia tena Tanganyika ni nchi kama ilivyo Zanzibar" Wakili Boniface Mwabukusi.

"Tunatoa onyo kwa Kiongozi mwingine kudhani anaweza kuingia mikataba ya kuuza nchi akabaki salama,wasituchezee" Wakili Boniface Mwabukusi

"Tunawaomba Watanzania wa dini zote,Waislamu, Wakristo,Wachungaji na Mashehe na WA jadi,tufunge tarehe 14,15,16 kuomba mapenzi ya Mungu yakafanyike kwa Tanganyika na Tanzania,ahsanteni sana"Wakili Boniface Mwabukusi
KAULI HII NI YA HATARI SANA KWA UMOJA WETU,KAULI HII PEKEE NI JINAI KISHERIA, " Utamke eti hatutaruhusu mzanzibari kuuza Mali za watanganyika"HIZI NI KAULI HATARI SANA ZINAZOWEZA KULETA BALAA BAYA KABISA,KWANINI YUPO URAIANI.
 
Chama unachokifuatilia tangu tisini na mbili hakijawahi kukaa ikulu hivyo kila kitu kwako ni malalamiko tu.

Tangu tumeanza kuongea huna jipya zaidi ya malalamiko, nikakushauri utafute labda uraia wa nchi nyingine ili angalau upate furaha.

Mkuu Steven, ni Chama kipi.....? Sijawapi kuwa mfuasi wa CCM Hata kabla ya vyama vingi! Hili ndio tatizo la vijana wa Lumumba! Ukiwa kinyume tu na CCM wewe ni CHADEMA! Kweli iko kazi....
 
Nimekuwa nina akili zangu timamu tangu 77 wakati CCM inazaliwa mpaka leo hii. Hizi siasa zetu za JF ni za humu humu majukwaani, huko mikoani haswa vijijini yanafika maendeleo makubwa sana.

Mitazamo yetu ni ya wachache wanaobahatika kupata elimu, wapo mamilioni ya watu wanaofaidika na mikopo, wanaofaidika na umeme wa REA, wanafaidika na mengi sana hawana muda wa kulialia kama mimi na wewe.
Steven,

Kumbe akili zako timamu zilianza 1977! Ndio maana...! Mbeleko iliyokubeba na maji yako ya siasa uliyoogeshwa imeanzia 1977.......Wigo wako wa kufikiri unaanzia 1977......Inawezekana hata ufahamu wako wa Historia ni kusoma vitabu biased vilivyoandika na watu wa Lumumba! Pole sana...That is way your narrative of thinking is twisted and myopic ! Ndio maana kila mawazo tofauti na wewe unaona ni Chadema! Ndio ninyi CCM ni baba na Mama....na ni "mungu"

Kinachosikitisha inawezekana wewe ni think tank ya vijana hapo Lumumba.....Hizo ni dalili tosha CCM haina miaka mingi.....na haina jipya....Imebakia kutumia miguvu ya Polisi....na Government machineries ambazo kisiasa zilitakiwa kuwa neutral! Ndio mbinu pekee mliyobakiza....
 
Steven,

Kumbe akili zako timamu zilianza 1977! Ndio maana...! Mbeleko iliyokubeba na maji yako ya siasa uliyoogeshwa imeanzia 1977.......Wigo wako wa kufikiri unaanzia 1977......Inawezekana hata ufahamu wako wa Historia ni kusoma vitabu biased vilivyoandika na watu wa Lumumba! Pole sana...That is way your narrative of thinking is twisted and myopic ! Ndio maana kila mawazo tofauti na wewe unaona ni Chadema! Ndio ninyi CCM ni baba na Mama....na ni "mungu"

Kinachosikitisha inawezekana wewe ni think tank ya vijana hapo Lumumba.....Hizo ni dalili tosha CCM haina miaka mingi.....na haina jipya....Imebakia kutumia miguvu ya Polisi....na Government machineries ambazo kisiasa zilitakiwa kuwa neutral! Ndio mbinu pekee mliyobakiza....

Steven

Steven Joel Ntamusano said:
Nimekuwa nina akili zangu timamu tangu 77 wakati CCM inazaliwa mpaka leo hii. Hizi siasa zetu za JF ni za humu humu majukwaani, huko mikoani haswa vijijini yanafika maendeleo makubwa sana.

Mitazamo yetu ni ya wachache wanaobahatika kupata elimu, wapo mamilioni ya watu wanaofaidika na mikopo, wanaofaidika na umeme wa REA, wanafaidika na mengi sana hawana muda wa kulialia kama mimi na wewe.


Sasa kama umepata akili timamu 1977, tutaweza kweli kuzuungumza kuhusu Muungano....? Tutaweza kweli kuzungumzia Katiba mpya....? Unachojua ni CHADEMA TU.....KWELI TUNA KAZI......!
 
Hoja zake zote zina mashiko.....
Tatizo ni kwamba hawana majibu na hoja, kila mwenye akili timamu anajua Muungano is one of the political tool ya CCM kubakia madarakani......Unaaumiza Wazanzibari wengi kunufaisha wachache huko.....kwa watu wa Bara hauna faida yoyote ile.....Ni mzigo kubeba hilo kundi la Wabunge toka Zanzibar ambalo wako Dodoma kulipwa posho kwa kodi za Watanganyika ili kufanikisha hoja za CCm tu.....Ni tabu tupu!
 
anachokitafta atakipata. soon atajua maana ya amri jeshi mkuu inamaana gani. ngoja aendelee kufurahisha genge. his days are number.

Huu ndio uzalendo tulio utaka tupo wengi nyuma yake..
Tunamuunga mkono
Mwovu kama wewe tutakukabili pia
 
Steven,

Kumbe akili zako timamu zilianza 1977! Ndio maana...! Mbeleko iliyokubeba na maji yako ya siasa uliyoogeshwa imeanzia 1977.......Wigo wako wa kufikiri unaanzia 1977......Inawezekana hata ufahamu wako wa Historia ni kusoma vitabu biased vilivyoandika na watu wa Lumumba! Pole sana...That is way your narrative of thinking is twisted and myopic ! Ndio maana kila mawazo tofauti na wewe unaona ni Chadema! Ndio ninyi CCM ni baba na Mama....na ni "mungu"

Kinachosikitisha inawezekana wewe ni think tank ya vijana hapo Lumumba.....Hizo ni dalili tosha CCM haina miaka mingi.....na haina jipya....Imebakia kutumia miguvu ya Polisi....na Government machineries ambazo kisiasa zilitakiwa kuwa neutral! Ndio mbinu pekee mliyobakiza....
Hunijui na mimi sikujui. Tuendelee kuheshimiana huku tukijenga hoja kadri ya uelewa binafsi wa mtu.

Wewe kuwa mpinzani haina maana kwamba upo vizuri sana katika kujenga hoja zako.
 
Leo limepita, hasa kwa watu wanaongalia hatua mbili mbele yao! Wasioweza kuona kesho ! Mnashindwa kabisa kuziona nyufa katika sera zenu, na hata Muungano! Siasa za CCM ni kushiba leo! Kumridhisa Rais! Sheria mlizozitunga wenyewe kwa kupiga makofi Pwaa...Pwaa..! Leo mnazifunja kwa takwa la Rais kupitisha anachokitaka!......Akiondoka hata DP World itakua hati hati!.....Hii mentality ya " Huwa yanakuja na kupita" Italicheza taifa hili mduara wa muda mrefu! Inasikitisha sana!
Acha ajidanganye mwenyewe.

Hili halipiti hivi hivi kama walivyozoea.

Hili litaacha alama, kama siyo kuwazoa moja kwa moja.
 
Tatizo ni kwamba hawana majibu na hoja, kila mwenye akili timamu anajua Muungano is one of the political tool ya CCM kubakia madarakani......Unaaumiza Wazanzibari wengi kunufaisha wachache huko.....kwa watu wa Bara hauna faida yoyote ile.....Ni mzigo kubeba hilo kundi la Wabunge toka Zanzibar ambalo wako Dodoma kulipwa posho kwa kodi za Watanganyika ili kufanikisha hoja za CCm tu.....Ni tabu tupu!
Kabisa....
 
Hunijui na mimi sikujui. Tuendelee kuheshimiana huku tukijenga hoja kadri ya uelewa binafsi wa mtu.

Wewe kuwa mpinzani haina maana kwamba upo vizuri sana katika kujenga hoja zako.
Steven,

Kuna kipindi huko nyuma tulikubali kutokubaliana, nashangaa kwa nini uliendelea na majibizano na mimi...Mbona umeandika mara kadhaa mimi nalialia, sikukujibu kwa jazba yoyote ile, bali kila hoja yako ilijibiwa kwa hoja! Hukutoa hoja zozote za maana....Ni zile nyimbo tulizozizoea...

Kwa sababu umekiri mwenyewe ufahamu wako kamili wa siasa ulianza 1977 wakati CCM inazaliwa, nitakuwa tu napoteza muda wangu kuendelea majibishano na wewe!

Una safari ndefu ya kujifunza Historia ya Kisiasa ya Nchi hii . Sijui hapo Lumumba wanawapikaje! Kila la heri.
 
Ukisoma mawazo ya JF unaweza ukafikiria ndio mawazo ya watanzania huku tunapoishi

Yaani kuna JF halafu kuna nchi yetu pendwa ya Tanzania
 
Back
Top Bottom