Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Akipewa adhabu si ndo anakuwa free after.Fatma Karume ambaye ni Mshauri wa Kisheria wa Mwanasoka Feisal Salum ‘Feytoto’ anadai kutopendezwa na maamuzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF kwenye Shauri ya mteja wake na kulitaka Shirikisho hilo kumpa adhabu Mchezaji kama ambavyo Sheria za FIFA zinaelekeza.View attachment 2536127
Simba hawahusiki na sakata la Feisal, bosi wenu alimtaka kimapenzi ndiyo akachukia kwani dogo siyo Kabwili,haya mambo hatukutaka kuyasema kwa vile mnaanza kutusingizia inabidi tuyamwage. Mchezaji bora kama yule mnataka kumharibu kwa tamaa zenu za kisodoma.Simba mbumbumbu fc waliamini kumvuruga Fei ni kuua moto wa Yanga kumbe Kuna Mzinze analijua goli Bado kupiga penati tu maana penati zake akipiga Mpira unaenda juuuuuuu na kutua Jambiani na Mchambawima!!
Kuna Aziz Ki anafunga, Mayele anafunga, Musonda anafunga, Job anafunga, Mwamnyeto anafunga, hata Diarra anafunga penati!!
Hatumtaki kabisa Feitoto mchukueni Makolo mbumbumbu fc nyie!
Bado mechi 5 tu kombe letu la NBC hiloooo jangwani!
Azam federation kombe letu tuko robo fainali!
Makundi CAF federation nafasi ya pili!
Makolo wote wanaumwa Kwa hasira za mafanikio yetu Utopolo
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Simba hawahusiki na sakata la Feisal, bosi wenu alimtaka kimapenzi ndiyo akachukia kwani dogo siyo Kabwili,haya mambo hatukutaka kuyasema kwa vile mnaanza kutusingizia inabidi tuyamwage. Mchezaji bora kama yule mnataka kumharibu kwa tamaa zenu za kisodoma.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ni kweli hii ishu ya kutakiwa kuliwa kinyeo FeiSimba hawahusiki na sakata la Feisal, bosi wenu alimtaka kimapenzi ndiyo akachukia kwani dogo siyo Kabwili,haya mambo hatukutaka kuyasema kwa vile mnaanza kutusingizia inabidi tuyamwage. Mchezaji bora kama yule mnataka kumharibu kwa tamaa zenu za kisodoma.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sheria imeelekeza muda wa kufungiwa. Fei na shangazi yake wanajua kabisa ni muda mchache sana anarudi uwanjani ndio maana hawakatai kuwa Fei kavunja mkataba, wanachotaka adhabu itolewe waitumikie chap maisha yaendeleeKuna shida gani Faisal kurudi Yanga? Akifungiwa miaka 2 itakuwaje? Kipaji bado kitakuwepo? Mbona kama sielewi
Adhabu hiyo ataiweza? Yanga wakitaka fidia ataweza kuilipa? Maana ni mtoroSheria imeelekeza muda wa kufungiwa. Fei na shangazi yake wanajua kabisa ni muda mchache sana anarudi uwanjani ndio maana hawakatai kuwa Fei kavunja mkataba, wanachotaka adhabu itolewe waitumikie chap maisha yaendelee
Na ndio ilikua plan yake na yusuf bakhresa,Yanga wameshtukia mchezo na kila mwezi ambao yupo nyumbani mshahara wake unaingizwa kwenye akaunti yake yan hata akienda huko CAS imekula kwakeAkipewa adhabu si ndo anakuwa free after.
Ni kweli ndiyo maana mama yake kasema mambo mengine ni siri kubwa, dogo siyo mshiriki wa huo upuuzi ndiyo maana kajiapiza kwa Allah kuwa kamwe hawezi kurudi Yanga. Hakutaka kuliweka wazi kwani ni jambo la wazi fedheha kubwa sana ila kwa vile Utopolo wanaisingizia Simba kuwa ndiyo waliomrubuni imebidi tupasue hili buyuNi kweli hii ishu ya kutakiwa kuliwa kinyeo Fei
Mwambieni mwarabu aache ufirauni mbona machoko wapo wengi sokoni tena wanajinadi mitandaoni hata akitaka wenye [emoji146] wapo.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kolo limevurugwa