Wakili: Feisal Anastahili Adhabu na Sio kurudishwa Yanga

Inasikitisha sana
 
Duh!!! Sasa akimjamii atafungaje magoli jamani? Huu uchu mbaya sana
 
Mbona mazito
 
Mnamuwaza mnyama sana, saa hizi yuko zake mawindoni huko utopoloni hakukaliki.
 
The issue was weather Faisal is Young African player or not.(legal method and procedure mwaka wa kwanza kabisa)

Na TFF wamesema kuwa Faisal ni mchezaji halali wa Young African.

Hayo ya adhabu hayakua maombi ya Yanga.
 
Simu unknown itapigwa na hili litaisha ...hawezi kukubali Mzanzibari mwenzie apate shida ilihali TFF ipo kwenye makanyagio yake
 
Hili bwana mzee ni fundisho kwa wanasoka wote, pamoja na mapungufu yao kwa hili TFF nawapa 5. Itasaidia sana vilabu kutoyumbishwa na hawa umbwa wenye tamaa.
Sikuzote kitu kizuri ndo hua kinabebwa
 
Sheria imeelekeza muda wa kufungiwa. Fei na shangazi yake wanajua kabisa ni muda mchache sana anarudi uwanjani ndio maana hawakatai kuwa Fei kavunja mkataba, wanachotaka adhabu itolewe waitumikie chap maisha yaendelee

Na Yanga hawana mpango wa kumuadhibu wanataka ajiadhibu mwenyewe km atakwenda CAS au awaite mezani shughuli imeisha…..
Lengo sio kumkomoa ni kulinda image ya clabu na kutoa mfano kwa wachezaji wengine wawe wanaheshimu mikataba yao…

Hata juzi tumeona Marcelo kavunja mkataba Olympiacos F.C ya Ugiriki kwa makubaliano ya pande zote mbili…… na si kwa kujiamulia mwenyewe
 
Simu unknown itapigwa na hili litaisha ...hawezi kukubali Mzanzibari mwenzie apate shida ilihali TFF ipo kwenye makanyagio yake

Na FIFA ndio watafanya yao baada ya iyo cm kupigwa
 
Simu unknown itapigwa na hili litaisha ...hawezi kukubali Mzanzibari mwenzie apate shida ilihali TFF ipo kwenye makanyagio yake
Huo uwezo hana akitaka aichukie Nchi ajaribu ndio atajua nguvu ya Yanga iko wapi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…