Wakili Jebra Kambole: CHADEMA inachafuka kwa tuhuma za rushwa

Wakili Jebra Kambole: CHADEMA inachafuka kwa tuhuma za rushwa

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
"Rushwa ukiitazama katika mfumo wa kijinai tunasema unapaswa uthibitishe pasipo na shaka lakini mkija kwenye upande wa chama kama CHADEMA, kwanza tunapaswa kujuwa kuwa CHADEMA ni tumaini la Watanzania kwa hiyo wanapaswa kujuwa kuwa hawapaswi kutiliwa shaka hata kidogo, ni kama tunavyosema mke wa Kaisari yaani hupaswi kumtilia shaka kwa sababu ndio tumaini, na CHADEMA imejijenga katika kupambana na rushwa, watu wanawapenda kwa sababu walitoka nje wakasema na kuonekana wanapambana na rushwa, walikuwa wanapinga mafisadi watu wakasema hiki ndio chama, sasa kama sasa kuna viashiria vya rushwa au tuhuma za rushwa hili sio jambo jema kwakweli, na sio jambo jema pia kusema kuna rushwa ndani ya chama halafu inakaliwa kimya yaani haichukuliwi hatua sio sawa" -Wakili Jebra

"Mimi siwezi kuzungumzia ajenda za Kamati Kuu huko sijuwi kwa sababu sikuwepo, sijuwi kama (Tundu Lissu) aliomba msamaha au la siwezi kuzungumzia kwa sababu sikuwepo, sijaona muongozo au minutes za vikao na wenyewe wametuambia ni siri za Kamati Kuu, lakini jambo ninalotaka kusema ni kwamba chama cha upinzani ambalo ni tumaini la Watanzania wanapaswa kuwa wasafi zaidi ya vyama vingine, tena zaidi hata ya chama tawala, yaani kinapaswa kuwa pale juu kwa sababu watu wanajuwa kuwa hawa ndio watu ambao tunawategemea, lakini kama taarifa zinatoka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti, viongozi na wanachama kuwa kuna watu wanaweza kumchukua mtoto wa Rais (Abdul) na kumpeleka kwa kiongozi kwa njia ya mikato hilo linatia mashaka sana" -Wakili Jebra

"Kiongozi wa chama cha upinzani hauwezi kutoka mbele na kujinasibu kuwa mimi nilimchukua mtoto wa Rais au mtoto wa fulani, nikampeleka kwa fulani ili amsaidie kufanya vitu hivi na hivi, wanatakiwa wawe kama mke wa Kaisari yaani wasafi hata mashaka huna, lakini kwa story zinazoendelea, conversation zinazofanyika hazina afya kwa chama cha upinzani kinachoaminika kuelezwa kuwa kashfa za rushwa, na rushwa zinazotajwa hapa inawezekana zina ushahidi au hazina lakini ukiunganisha mambo unaona hapa kuna mashaka"

Jambo
 
"Rushwa ukiitazama katika mfumo wa kijinai tunasema unapaswa uthibitishe pasipo na shaka lakini mkija kwenye upande wa chama kama CHADEMA, kwanza tunapaswa kujuwa kuwa CHADEMA ni tumaini la Watanzania kwa hiyo wanapaswa kujuwa kuwa hawapaswi kutiliwa shaka hata kidogo, ni kama tunavyosema mke wa Kaisari yaani hupaswi kumtilia shaka kwa sababu ndio tumaini, na CHADEMA imejijenga katika kupambana na rushwa, watu wanawapenda kwa sababu walitoka nje wakasema na kuonekana wanapambana na rushwa, walikuwa wanapinga mafisadi watu wakasema hiki ndio chama, sasa kama sasa kuna viashiria vya rushwa au tuhuma za rushwa hili sio jambo jema kwakweli, na sio jambo jema pia kusema kuna rushwa ndani ya chama halafu inakaliwa kimya yaani haichukuliwi hatua sio sawa" -Wakili Jebra

"Mimi siwezi kuzungumzia ajenda za Kamati Kuu huko sijuwi kwa sababu sikuwepo, sijuwi kama (Tundu Lissu) aliomba msamaha au la siwezi kuzungumzia kwa sababu sikuwepo, sijaona muongozo au minutes za vikao na wenyewe wametuambia ni siri za Kamati Kuu, lakini jambo ninalotaka kusema ni kwamba chama cha upinzani ambalo ni tumaini la Watanzania wanapaswa kuwa wasafi zaidi ya vyama vingine, tena zaidi hata ya chama tawala, yaani kinapaswa kuwa pale juu kwa sababu watu wanajuwa kuwa hawa ndio watu ambao tunawategemea, lakini kama taarifa zinatoka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti, viongozi na wanachama kuwa kuna watu wanaweza kumchukua mtoto wa Rais (Abdul) na kumpeleka kwa kiongozi kwa njia ya mikato hilo linatia mashaka sana" -Wakili Jebra

"Kiongozi wa chama cha upinzani hauwezi kutoka mbele na kujinasibu kuwa mimi nilimchukua mtoto wa Rais au mtoto wa fulani, nikampeleka kwa fulani ili amsaidie kufanya vitu hivi na hivi, wanatakiwa wawe kama mke wa Kaisari yaani wasafi hata mashaka huna, lakini kwa story zinazoendelea, conversation zinazofanyika hazina afya kwa chama cha upinzani kinachoaminika kuelezwa kuwa kashfa za rushwa, na rushwa zinazotajwa hapa inawezekana zina ushahidi au hazina lakini ukiunganisha mambo unaona hapa kuna mashaka"

Jambo
Wakili Gebra kusiwe ndumilakuwili. Ninajua mtu anayewakili mara nyingi anaweza kijua uongo na ukweli. Sasa kama una mashaka na CHAMA Cha siasa, je huwezi kuwawajibisha wapokea rushwa hasa wanasiasa tunaowategemea kama Hawa wa Chadema?
 
"Rushwa ukiitazama katika mfumo wa kijinai tunasema unapaswa uthibitishe pasipo na shaka lakini mkija kwenye upande wa chama kama CHADEMA, kwanza tunapaswa kujuwa kuwa CHADEMA ni tumaini la Watanzania kwa hiyo wanapaswa kujuwa kuwa hawapaswi kutiliwa shaka hata kidogo, ni kama tunavyosema mke wa Kaisari yaani hupaswi kumtilia shaka kwa sababu ndio tumaini, na CHADEMA imejijenga katika kupambana na rushwa, watu wanawapenda kwa sababu walitoka nje wakasema na kuonekana wanapambana na rushwa, walikuwa wanapinga mafisadi watu wakasema hiki ndio chama, sasa kama sasa kuna viashiria vya rushwa au tuhuma za rushwa hili sio jambo jema kwakweli, na sio jambo jema pia kusema kuna rushwa ndani ya chama halafu inakaliwa kimya yaani haichukuliwi hatua sio sawa" -Wakili Jebra

"Mimi siwezi kuzungumzia ajenda za Kamati Kuu huko sijuwi kwa sababu sikuwepo, sijuwi kama (Tundu Lissu) aliomba msamaha au la siwezi kuzungumzia kwa sababu sikuwepo, sijaona muongozo au minutes za vikao na wenyewe wametuambia ni siri za Kamati Kuu, lakini jambo ninalotaka kusema ni kwamba chama cha upinzani ambalo ni tumaini la Watanzania wanapaswa kuwa wasafi zaidi ya vyama vingine, tena zaidi hata ya chama tawala, yaani kinapaswa kuwa pale juu kwa sababu watu wanajuwa kuwa hawa ndio watu ambao tunawategemea, lakini kama taarifa zinatoka kutoka kwa Makamu Mwenyekiti, viongozi na wanachama kuwa kuna watu wanaweza kumchukua mtoto wa Rais (Abdul) na kumpeleka kwa kiongozi kwa njia ya mikato hilo linatia mashaka sana" -Wakili Jebra

"Kiongozi wa chama cha upinzani hauwezi kutoka mbele na kujinasibu kuwa mimi nilimchukua mtoto wa Rais au mtoto wa fulani, nikampeleka kwa fulani ili amsaidie kufanya vitu hivi na hivi, wanatakiwa wawe kama mke wa Kaisari yaani wasafi hata mashaka huna, lakini kwa story zinazoendelea, conversation zinazofanyika hazina afya kwa chama cha upinzani kinachoaminika kuelezwa kuwa kashfa za rushwa, na rushwa zinazotajwa hapa inawezekana zina ushahidi au hazina lakini ukiunganisha mambo unaona hapa kuna mashaka"

Jambo
Kwa hizi tuhuma za hela za Abdul na Mama yake na hii ya sasa hivi kuwa mwamba kakunjiwa tena 12b na Mama Abdul na kuahisiwa manpower toka TISS, Polisi na Uvccm ili kumsaidia kushinda ni dhahiri kuwa kama Mbowe "akishinda" ni mwendawazimu tu atakiamini hiki chama kwani ni dhahir shahir kitakuwa kinapokea maelekezo toka Lumumba. Mbowe amekiua kabisa hiki chama.
 
rushwa adui wa akili ,yericko NYERERE popote ulipo saidia kukemea
 
Limbowe lilituuza kwa miaka 21😄😄😄😄

Watu walijitoa wengine wamepoteza huwa kumbe usiku linaenda kwa abdul kupokea maburungutu ya pesa
 
😂 😂 😂Imagine sasa hivi chadema nao wanatuhumiwa kwa rushwa kama ccm tu
Kwa mara ya kwanza kwenye Bara letu hili la Afrika Chama cha wala RUSHWA (CCM) kimeambukiza RUSHWA kwenye Chama makini cha Upinzani (CHADEMA).
 
Kwa hizi tuhuma za hela za Abdul na Mama yake na hii ya sasa hivi kuwa mwamba kakunjiwa tena 12b na Mama Abdul na kuahisiwa manpower toka TISS, Polisi na Uvccm ili kumsaidia kushinda ni dhahiri kuwa kama Mbowe "akishinda" ni mwendawazimu tu atakiamini hiki chama kwani ni dhahir shahir kitakuwa kinapokea maelekezo toka Lumumba. Mbowe amekiua kabisa hiki chama.
Mkuu chukua Maua yako 💐💐💐💐
 
Lissu asiwe mgombea urais na wala asiwe na cheo chochote, maana atampa shida sana mama yao majukwaani wakati wa kampeni
Sasa nimeanza kuelewa chanzo cha 12B. Na tetesi toka Twitter zinasema hiyo 12B ni advansi bado kuna mabilioni mengine yanakuja njiani. Inawezekana hayo mabilioni mengine yanakuja kumzuia lissu asiwe mgombea urais. Maana Lissu anaweza akashinda Urais kwa kishindo kikubwa.
 
Huyu naye bure, ndiyo maana wanashindwa kesi, ni pro Lisu. Lisu ametoa ushaihidi gani?
Rushwa ni adui wa haki, rushwa ziishie CCM na serikalini Huko ziliko zoeleka,lakini rushwa ndani ya CHADEMA NO!! NO!
 
Back
Top Bottom