mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 1,063
- 1,456
Unaonaje ukaenda au tukaenda chama cha SAU! Maana una makelele sanaKwa hizi tuhuma za hela za Abdul na Mama yake na hii ya sasa hivi kuwa mwamba kakunjiwa tena 12b na Mama Abdul na kuahisiwa manpower toka TISS, Polisi na Uvccm ili kumsaidia kushinda ni dhahiri kuwa kama Mbowe "akishinda" ni mwendawazimu tu atakiamini hiki chama kwani ni dhahir shahir kitakuwa kinapokea maelekezo toka Lumumba. Mbowe amekiua kabisa hiki chama.
Napokea mkuu kwa mikono miwili. Biblia inasema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake,na hapa Sultan Mbowe anaivunja Chadema aliyoijenga kwa jasho na damu kwa mikono yake mwenyewe kwa kupokea hela ya Samia. So π.Mkuu chukua Maua yako ππππ
Huyu mmachame tutabnana naye humu huku kwani na sisi tuna jasho letu humu. Hatukimbii uwanja wa vita ila tunaweze ku retreat in order to advance.Unaonaje ukaenda au tukaenda chama cha SAU! Maana una makelele sana
Huo ndiyo mpango mzima na ndiyo agano la Sultan Mbowe na mama Abdul.Sasa nimeanza kuelewa chanzo cha 12B. Na tetesi toka Twitter zinasema hiyo 12B ni advansi bado kuna mabilioni mengine yanakuja njiani. Inawezekana hayo mabilioni mengine yanakuja kumzuia lissu asiwe mgombea urais. Maana Lissu anaweza akashinda Urais kwa kishindo kikubwa.
Ni mwendo wa kulamba asali tu, hayo mabilioni mengine ya kumzuia lissu kugombea urais sijui wameandaa mabilioni kiasi gani? Kama tu huu uchaguzi wa ndani tetesi toka Twitter zinasema tayari wameinject asali ya 12B, kumzuia Lissu watainject billioni ngapi? π€£π€£π€£π€£Huo ndiyo mpango mzima na ndiyo agano la Sultan Mbowe na mama Abdul.
Mkuu hata Sultani Mbowe akiivunja CHADEMA OMBWE la Upinzani wa KWELI bado lipo kubwa hapa Nchini itabidi kufungua Chama kipya na kitapata Wanachama wengi wengi kweli kweli.Napokea mkuu kwa mikono miwili. Biblia inasema mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake kwa mikono yake,na hapa Sultan Mbowe anaivunja Chadema aliyoijenga kwa jasho na damu kwa mikono yake mwenyewe kwa kupokea hela ya Samia. So π.