Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine

Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Wakili Madeleka amesema yapo mambo ambayo yanashughulikiwana muungano wa falme za Kiarabu na yapo mambo yanashughulikiwa 'individual emirate'

Madeleka ametolea mfano wa Zanzibar isivyoweza kusain mktaba na Kenya, kuchukua mkopo japokuwa inae Rais. Madeleka amesema Zanzibar haina ubalozi popote duniani.

Madeleka amesema katiba ya umoja wa falme za kiarabu inasema mambo ya kimataifa yatashughulikiwa na muungano wa falme za kiarabu na Dubai haiwezi kuingia mkataba wa kimataifa.

Madeleka amesema Dubai imefanya utapeli kusema ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa kwani Tanzania ni nchi na Dubai sio nchi.

 
Wakili Madeleka amesema yapo mambo ambayo yanashughulikiwana muungano wa falme za Kiarabu na yapo mambo yanashughulikiwa 'individual emirate'

Madeleka ametolea mfano wa Zanzibar isivyoweza kusain mktaba na Kenya, kuchukua mkopo japokuwa inae Rais. Madeleka amesema Zanzibar haina ubalozi popote duniani.

Madeleka amesema katiba ya umoja wa falme za kiarabu inasema mambo ya kimataifa yatashughulikiwa na muungano wa falme za kiarabu na Dubai haiwezi kuingia mkataba wa kimataifa.

Madeleka amesema Dubai imefanya utapeli kusema ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa kwani Tanzania ni nchi na Dubai sio nchi.
Mbona majuzi zazibar imepata mkopo kutoka EU.
 
Huo ndio ukweli zanzibar akikopeshwa mdhamini ni tanganyika, na zanzibar huwezi kuiita nchi wakati hana kiti umoja wa mataifa,
 
Idadi ya wananchi zanzibar ni ndogo kuliko mkoa wa mwanza lakini zanzibar ina mgao mkubwa kuliko mwanza ajabu sana hii
 
Hivi Zanzibar ina faida gani kwenye huu Muungano? Kwanini tusiuvunje wajitegemee na huyu mama aondokee aende huko.
Huu Muungano unatuletea hasara sana hasa kwakuwa na viongozi wenye asili ya huko wasio na faida.
 
Wanatumia mgongo wa Tanganyika (Tanzania) kukopa, halafu mwisho wa siku Watanganyika ndiyo watakaokuja kulipa huo mkopo.
Sawa na Dubai inatumia mgongo wa UAE badaye ndowataajibika kwa lolote.
 
Wakili Madeleka amesema yapo mambo ambayo yanashughulikiwana muungano wa falme za Kiarabu na yapo mambo yanashughulikiwa 'individual emirate'

Madeleka ametolea mfano wa Zanzibar isivyoweza kusain mktaba na Kenya, kuchukua mkopo japokuwa inae Rais. Madeleka amesema Zanzibar haina ubalozi popote duniani.

Madeleka amesema katiba ya umoja wa falme za kiarabu inasema mambo ya kimataifa yatashughulikiwa na muungano wa falme za kiarabu na Dubai haiwezi kuingia mkataba wa kimataifa.

Madeleka amesema Dubai imefanya utapeli kusema ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa kwani Tanzania ni nchi na Dubai sio nchi.

Kama Zanzibar sio Nchi mikataba iliyoingia Huwa inaingiza kama nani? Aache ujinga huyu
 
Mbona unatumia lugha chafu namna hiyo.
Mama yako unaweza kumtukana hivyo?.
Huyo ni mzazi wako, na zaidi, ni kiongozi mkuu wa nchi.
Naomba ujitafakari sana.
Kwa hili nakuunga mkono japo simpendi Samia lakini lazima aheshimiwe kama mzazi na kiongozi wa nchi
 
Back
Top Bottom