Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine

Wakili Madeleka: Dubai sio nchi kama ilivyo Zanzibar hivyo haiwezi kuingia mkataba na nchi nyingine

Hivi Zanzibar ina faida gani kwenye huu Muungano? Kwanini tusiuvunje wajitegemee na huyu mama aondokee aende huko.
Huu Muungano unatuletea hasara sana hasa kwakuwa na viongozi wenye asili ya huko wasio na faida.
Faida inayo na ndio maana mnatumia maguvu na mabavu kuulazimisha Muungano
 
Wakili Madeleka amesema yapo mambo ambayo yanashughulikiwana muungano wa falme za Kiarabu na yapo mambo yanashughulikiwa 'individual emirate'

Madeleka ametolea mfano wa Zanzibar isivyoweza kusain mktaba na Kenya, kuchukua mkopo japokuwa inae Rais. Madeleka amesema Zanzibar haina ubalozi popote duniani.

Madeleka amesema katiba ya umoja wa falme za kiarabu inasema mambo ya kimataifa yatashughulikiwa na muungano wa falme za kiarabu na Dubai haiwezi kuingia mkataba wa kimataifa.

Madeleka amesema Dubai imefanya utapeli kusema ina uwezo wa kuingia makubaliano ya kimataifa kwani Tanzania ni nchi na Dubai sio nchi.

Kwa bahati mbaya sana Mh. Madeleka anapotosha. Ni kweli The Emirate of Dubai siyo nchi na masuala ya uhusiano wa kimataifa ni suala la muungano yaani Umoja wa Falme za Kiarabu. Katiba yao inasema falme zinaweza ingia mikataba ya kimataifa ilimradi:-
1. iwe hakizani na msimama wa UAE
2. Makubaliano yapelekwe kwenye bunge la umoja

Article 123 As an exception to paragraph 1 of Article 120 concerning the exclusive jurisdiction of the Union in matters of foreign policy and international relations, the member Emirates of the Union may conclude limited agreements of a local and administrative nature with the neighbouring states or regions, save that such agreements are not inconsistent with the interests of the Union or with Union laws and provided that the Supreme Council of the Union is informed in advance. If the Council objects to the conclusion of such agreements, it shall be obligatory to suspend the matter until the Union Court has ruled on that objection as early as possible. The Emirates may retain their membership in the OPEC organisation and the Organisation of Arab Petroleum Exporting Countries or may join them.

Article 124 Before the conclusion of any treaty or international agreement which may affect the status of any one of the Emirates, the competent Union authorities shall consult that Emirate in advance. In the event of a dispute, the matter shall be submitted to the Union Supreme Court for ruling.
Article 125 The Governments of the Emirates shall undertake the appropriate measures to implement the laws promulgated by the Union and the treaties and international agreements concluded by the Union, including the promulgation of the local laws, regulations, decisions and orders necessary for such implementation. The Union authorities shall supervise the implementation by Emirate's Governments of the Union laws, decisions. treaties, agreements and Union judgements. The competent administrative and judicial authorities in the Emirates should forward to the Union authorities all possible assistance in this connection.
Inasikitisha kuwa mawakili wetu wanafanya scan reading kupata vifungu vya kupotosha watu badala ya kusoma kwa pamoja vifungu vyote ili kusaidia kuelewesha watu
 
Sasa Kama Zaznzibar siyo nchi , Tanganyika inakuwaje nchi ?
Tanganyika Inapata wapi kibali cha kuingia mikataba bila ya Ridhaa ya Zanzibar ambayew ni mshirika wa Muungano wa TZ.
Katiba Mpya ni Lazima SASA
 
Zanzibar na Dubai zote ni nchi. Tofauti zao za kujitawala, International status na kujiamulia zinatokana na katiba za muungano wao.

Tanzania ina ‘unitary constitution’

UAE ina ‘Federal Constitution’

Ukishaelewa misingi ya hizo katiba mbili na tofauti zake; utapata picha pia ya tofauti ya Zanzibar na Dubai.

It’s just sad ukisikiliza wasomi wetu they’re just below average.
 

Peter Madeleka anakataa katakata kuhusu uwekezaji kwenye bandari, anataka mambo yaende hivihivi pale bandarini, hakerwi na wizi na udhaifu wa bandari. Tujiulize, j,e, Madeleka anazo hoja au maslahi yake binafsi? Je, anapotumia neno "sisi" anamaanisha wao akina nani? anawawakilisha akina nani?

 

Peter Madeleka anakataa katakata kuhusu uwekezaji kwenye bandari, anataka mambo yaende hivihivi pale bandarini, hakerwi na wizi na udhaifu wa bandari. Tujiulize, j,e, Madeleka anazo hoja au maslahi yake binafsi? Je, anapotumia neno "sisi" anamaanisha wao akina nani? anawawakilisha akina nani?

Kama mnashindwa kusimamia kaeneo kadogo tu kama bandari ,kwa kisingizio cha wizi , hiyo nchi mtaiendeshaje je huo wizi nani amexhukuliwa hatua ,au mmekaa tu kusiema bandarin kuna wizi halafu hamchukui hatua ,
 
Kama mnashindwa kusimamia kaeneo kadogo tu kama bandari ,kwa kisingizio cha wizi , hiyo nchi mtaiendeshaje je huo wizi nani amexhukuliwa hatua ,au mmekaa tu kusiema bandarin kuna wizi halafu hamchukui hatua ,
utamuweka nani? Dawa pekee ni kutumia vifaa ambavyo hatuna na hatuna hela hizo.
 

Peter Madeleka anakataa katakata kuhusu uwekezaji kwenye bandari, anataka mambo yaende hivihivi pale bandarini, hakerwi na wizi na udhaifu wa bandari. Tujiulize, j,e, Madeleka anazo hoja au maslahi yake binafsi? Je, anapotumia neno "sisi" anamaanisha wao akina nani? anawawakilisha akina nani?

Peter ni wa Tabora kama sikosei, Bandarini wamejaa wazanzibar tupu, Peter na bandari wapi na wapi?
 
Kama mnashindwa kusimamia kaeneo kadogo tu kama bandari ,kwa kisingizio cha wizi , hiyo nchi mtaiendeshaje je huo wizi nani amexhukuliwa hatua ,au mmekaa tu kusiema bandarin kuna wizi halafu hamchukui hatua ,
wao ni wezi, watu wataachaje kuiba na huku wao ndiyo wanawatuma kuiba?
 
Back
Top Bottom