Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aumbe bandari ya peke yake kama anaweza.Peter Madeleka anakataa katakata kuhusu uwekezaji kwenye bandari, anataka mambo yaende hivihivi pale bandarini, hakerwi na wizi na udhaifu wa bandari. Tujiulize, j,e, Madeleka anazo hoja au maslahi yake binafsi? Je, anapotumia neno "sisi" anamaanisha wao akina nani? anawawakilisha akina nani?
mufilisi wwPeter Madeleka anakataa katakata kuhusu uwekezaji kwenye bandari, anataka mambo yaende hivihivi pale bandarini, hakerwi na wizi na udhaifu wa bandari. Tujiulize, j,e, Madeleka anazo hoja au maslahi yake binafsi? Je, anapotumia neno "sisi" anamaanisha wao akina nani? anawawakilisha akina nani?
utamuweka nani? Dawa pekee ni kutumia vifaa ambavyo hatuna na hatuna hela hizo.
Mkuu hiyo DP World ni kichaka tu, lakini hiyo DP World ni watanzania wenzetu wamechukua hiyo bandari. Ndio maana huoni viongozi wa Dubai popote pale, zaidi ya waarabu kadhaa waliopangwa kuja kutuzuga ndio hao waarabu wa Dubai...Tz haishindwi kupata usd 250 million zinazotarajiwa kuwekezwa na Dp World bandarini.
Acha porojo, ajitafakari kivipi kwani wewe kiongozi wa nchi (ke) utaweza kumlinganisha kihadhi na mama yako mzazi aliyekuweka tumboni miezi 9?Mbona unatumia lugha chafu namna hiyo.
Mama yako unaweza kumtukana hivyo?.
Huyo ni mzazi wako, na zaidi, ni kiongozi mkuu wa nchi.
Naomba ujitafakari sana.
KabisaHoja za Madeleka ni za MOTO zijibiwe.