Wakili Madeleka: Kauli aliyotoa Masauni inathibitisha hafahamu wajibu anaoutumikia, inawezekana alipewa kwa bahati mbaya

Wakili Madeleka: Kauli aliyotoa Masauni inathibitisha hafahamu wajibu anaoutumikia, inawezekana alipewa kwa bahati mbaya

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Wakili Madeleka amesema mamlaka aliyonayo Masauni kama Waziri wa Mambo ya Ndani ni mamlaka ya kisera kuhusu vyombo ambavyo vipo chini ya wizara ile lakini hana mamlaka ya kiutendaji ya kila siku ya vyombo vile. Kama ni polisi kuna IGP mwenye majukumu yake na yuko trained kuyatekeleza majukumu hayo.

Madeleka ameongeza kuwa, Masauni kutoa kauli za kisiasa kwenye majukwaa ya kisiasa kuwaambia polisi na vyombo vingine kwenda kuwakamata watu wanaotoa maoni tofauti na serikali na wasiyoyapenda, Masauni anathibitisha kwamba hafahamu wajibu wanaoutumikia na inawezekana alipewa tu kwa bahati mbaya.
 
Huyo Masauni hana tofauti na yule mkimbiza mwenge anayeitwa Abdallah Shaibu "Ninja"!! Wanataka waogopwe na Watanganyika, kisa tu wana madaraka ya kupewa.
 
Sio bahayi mbaya alopewa kisa uzanzinari wake
 
Aisee,bora wanasheria muungane muikomboe hii nchi toka kwenye mikono ya ccm
 
Masauni yuko pale kwasabb ya uzanzibari wake tu, lkn kichwani hakuna kitu. Si unajua wazanzibari wamebobea kwenye madarasa tu lkn elimu dunia ni ya kuungaunga!
 
Back
Top Bottom