Rais anajali maslahi ya dubai kuliko Tanzania.Madeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.
View attachment 2685670
Inavyosomeka: Mbarawa kapewa mamlaka na Rais asaini kwa niaba ya Tanzania na Dubai.Madeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.
View attachment 2685670
Huu ni mradi wa watanzania wenzetu DP world wameambiwa wenyewe watulie tuu. Ndio maana unaona kuna wachache wenye maslahi nao wanaupiganiaHuu mkataba umekaa kimagumashi. Jamani kwanini hawa DP World wasije wenyewe wakajitetea badala yake wameiachia serekali ya Samia iwatetee?
Kwanini CCM na serikali wamejigeuza kuwa wasemaji wa DP World?
Auze yale magofu mapya ya ikulu ya kijerumani pale Chamwino Dodoma!Huyu mama anasaini kila kitu kilichopo mbele yake bila kusoma.
Kuna siku atasaini kuuza mkoa wa Dodoma.
Khaaa! Siku Iona hii. Ndiyo maana mwanzoni sakata Lina ibuka nilisema Kuna kujitapeli ama kutapeliwa Nilionekana ChiziMadeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.
View attachment 2685670
sijui nimeelewa au hiki ni kiswahili cha kisasa ok ngoja kwanza niulize huyu mbalawa ni mdubai au mtanzania? Na hiyo tanzania ipo dubai au tanzania? Maana mwenzio nimeelewa hivi mshana jr amepewa mamlaka ya kusaini mkataba na maxmelo au kwa niaba sasa ukija kuangalia hawa wote ni wa jamiiforums, mkuu naomba kueleweshwa maelezo yako sijaelewa ila anza kujibu hayo maswali asanteMadeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.
View attachment 2685670
Raisi WA HOVYO kabisaMadeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.
View attachment 2685670
Acheni haya maneno yasiyo na heshima wala busara. Uhuru wa maoni usitumike vibaya. Ni ushauri tu wala si amri.πππMsimseme Sana
Kumbukeni ni mke wa mtu pia anaweza akawa alisaini akiwaza ugomvi uliopo namumewe
Akopoteza umakini
Kwani nyie mnawalaumu dp au mnailaumu serikali na ccm?Huu mkataba umekaa kimagumashi. Jamani kwanini hawa DP World wasije wenyewe wakajitetea badala yake wameiachia serekali ya Samia iwatetee?
Kwanini CCM na serikali wamejigeuza kuwa wasemaji wa DP World?
Madeleka akisoma sehemu ya kipande cha mkataba uliosaniwa Rais Samia, ambapo kipande hicho kinasema Rais Samia ametoa mamlaka yake kwa Mbarawa kusaini mkataba kwa niaba ya Tanzania na Dudai wakati Samia sio Rais wa Dubai, na kwamba Rais Samia kasahau kwamba mamlaka yake ni kwenye mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pekee na sio Dubai.
Sent using Jamii Forums mobile app