econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Wakili Madeleka popote ulipo, tunaomba uwasaidie Hawa wananchi wanaotapeliwa kwa kupitia jina la Ikulu. Nadhani wewe na Ex Mayor Bonny ndio mmebakia wenye uchungu na raia.
Kuna mtu anatumia jina la Ikulu, Waziri Mkuu na hata Jeshi letu la JWTZ kuwatapeli wananchi. Na mpaka sasa hivi kuna watu wamefilisika kutokana na tapeli huyu. Mwezi wa April mwaka huu RCO wa Temeke alifungua Jalada, ila baadae akatokomea gizani. Taarifa hizi zilishafika Hadi bungeni ila hakuna hatua iliyochukuliwa. Ni hatari Sana kwa taifa Kwa mtu kutumia majina ya Viongozi na hasa sehemu nyeti Kama Ikulu kutapeli raia wasio na kosa lolote.
Tulipeleka taarifa JWTZ wakakaa kimya, Bunge wakampiga kimya, ofisi ya Waziri Mkuu wakampiga kimya, ofisi ya Rais Zanzibar kwakapiga kimya. Sasa ni Bora hili jambo lifike mahakamani ili ukweli wote uwekwe wazi.
Madeleka na Mh Boni Yai popote mlipo tunaomba muwasaidie Hawa wananchi. Ni Bora taifa lielewe kinachoendelea hata Kama serikali itakaa kimya raia waendelee kuonewa.
Yeyote mwenye mawasiliano ya Wakili Madeleka anaweza kunipatia.
Kuna mtu anatumia jina la Ikulu, Waziri Mkuu na hata Jeshi letu la JWTZ kuwatapeli wananchi. Na mpaka sasa hivi kuna watu wamefilisika kutokana na tapeli huyu. Mwezi wa April mwaka huu RCO wa Temeke alifungua Jalada, ila baadae akatokomea gizani. Taarifa hizi zilishafika Hadi bungeni ila hakuna hatua iliyochukuliwa. Ni hatari Sana kwa taifa Kwa mtu kutumia majina ya Viongozi na hasa sehemu nyeti Kama Ikulu kutapeli raia wasio na kosa lolote.
Tulipeleka taarifa JWTZ wakakaa kimya, Bunge wakampiga kimya, ofisi ya Waziri Mkuu wakampiga kimya, ofisi ya Rais Zanzibar kwakapiga kimya. Sasa ni Bora hili jambo lifike mahakamani ili ukweli wote uwekwe wazi.
Madeleka na Mh Boni Yai popote mlipo tunaomba muwasaidie Hawa wananchi. Ni Bora taifa lielewe kinachoendelea hata Kama serikali itakaa kimya raia waendelee kuonewa.
Yeyote mwenye mawasiliano ya Wakili Madeleka anaweza kunipatia.