Wakili Madeleka tusaidie kwenye kufungua hili shauri

Wakili Madeleka tusaidie kwenye kufungua hili shauri

Ex Mayor Jacob ebu saidia raia wako.
 
Wakili Madeleka popote ulipo, tunaomba uwasaidie Hawa wananchi wanaotapeliwa kwa kupitia jina la Ikulu. Nadhani wewe na Ex Mayor Bonny ndio mmebakia wenye uchungu na raia.

Kuna mtu anatumia jina la Ikulu, Waziri Mkuu na hata Jeshi letu la JWTZ kuwatapeli wananchi. Na mpaka sasa hivi kuna watu wamefilisika kutokana na tapeli huyu. Mwezi wa April mwaka huu RCO wa Temeke alifungua Jalada, ila baadae akatokomea gizani. Taarifa hizi zilishafika Hadi bungeni ila hakuna hatua iliyochukuliwa. Ni hatari Sana kwa taifa Kwa mtu kutumia majina ya Viongozi na hasa sehemu nyeti Kama Ikulu kutapeli raia wasio na kosa lolote.

Tulipeleka taarifa JWTZ wakakaa kimya, Bunge wakampiga kimya, ofisi ya Waziri Mkuu wakampiga kimya, ofisi ya Rais Zanzibar kwakapiga kimya. Sasa ni Bora hili jambo lifike mahakamani ili ukweli wote uwekwe wazi.

Madeleka na Mh Boni Yai popote mlipo tunaomba muwasaidie Hawa wananchi. Ni Bora taifa lielewe kinachoendelea hata Kama serikali itakaa kimya raia waendelee kuonewa.

Yeyote mwenye mawasiliano ya Wakili Madeleka anaweza kunipatia.
Kwa akili za namna hii lazima utatapeliwa tu. Madeleka na Bon Yai hawawezi kukusaidia kama una akili za namna hii bali watakula pesa zako tu.
 
Duh hii kali

Ova

Yani mpaka imefikie kumuomba Madeleka asaidie ni kwamba serikali imewatupa mkono wahanga na kuruhusu waendelee kuibiwa kwa jina la Ikulu.
 
Kwa akili za namna hii lazima utatabeliwa tu. Madeleka na Bon Yai hawawezi kukusaidia kama una akili za namna hii bali watakula pesa zako tu.

Stupid idiot. Umesoma mkasa ulipoanzia au unaleta ujuaji. Shida unajifanya kujua mambo wakati mpumbavu. Kasome Uzi wa Generali Mwamwega tangu kisa kilipoanzia mpaka Sasa. Very stupid idiot
 
Stupid idiot. Umesoma mkasa ulipoanzia au unaleta ujuaji. Shida unajifanya kujua mambo wakati mpumbavu. Kasome Uzi wa Generali Mwamwega tangu kisa kilipoanzia mpaka Sasa. Very stupid idiot
Shithole!
 
Wakili Madeleka popote ulipo njoo huku.
 
Hii kesi inahusu utapeli kwa kutumia jina la Ikulu dhidi ya Katibu Mkuu wa FPCT
 
Stupid idiot. Umesoma mkasa ulipoanzia au unaleta ujuaji. Shida unajifanya kujua mambo wakati mpumbavu. Kasome Uzi wa Generali Mwamwega tangu kisa kilipoanzia mpaka Sasa. Very stupid idiot
Eti unanitumia sms ya kunitisha mimi!!! Mmmh. Haya nakusubiri na karibu porini.
 
Wakili madeleka popote ulipo nitafute inbox.
 
Back
Top Bottom