Wakili Madeleka tusaidie kwenye kufungua hili shauri

Ex Mayor Jacob ebu saidia raia wako.
 
Kwa akili za namna hii lazima utatapeliwa tu. Madeleka na Bon Yai hawawezi kukusaidia kama una akili za namna hii bali watakula pesa zako tu.
 
Duh hii kali

Ova

Yani mpaka imefikie kumuomba Madeleka asaidie ni kwamba serikali imewatupa mkono wahanga na kuruhusu waendelee kuibiwa kwa jina la Ikulu.
 
Kwa akili za namna hii lazima utatabeliwa tu. Madeleka na Bon Yai hawawezi kukusaidia kama una akili za namna hii bali watakula pesa zako tu.

Stupid idiot. Umesoma mkasa ulipoanzia au unaleta ujuaji. Shida unajifanya kujua mambo wakati mpumbavu. Kasome Uzi wa Generali Mwamwega tangu kisa kilipoanzia mpaka Sasa. Very stupid idiot
 
Stupid idiot. Umesoma mkasa ulipoanzia au unaleta ujuaji. Shida unajifanya kujua mambo wakati mpumbavu. Kasome Uzi wa Generali Mwamwega tangu kisa kilipoanzia mpaka Sasa. Very stupid idiot
Shithole!
 
Wakili Madeleka popote ulipo njoo huku.
 
Hii kesi inahusu utapeli kwa kutumia jina la Ikulu dhidi ya Katibu Mkuu wa FPCT
 
Stupid idiot. Umesoma mkasa ulipoanzia au unaleta ujuaji. Shida unajifanya kujua mambo wakati mpumbavu. Kasome Uzi wa Generali Mwamwega tangu kisa kilipoanzia mpaka Sasa. Very stupid idiot
Eti unanitumia sms ya kunitisha mimi!!! Mmmh. Haya nakusubiri na karibu porini.
 
Wakili madeleka popote ulipo nitafute inbox.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…