Chacha Junior
Member
- Nov 1, 2017
- 22
- 20
Karibuni kwenye channel yangu mpya ya whatsaap kwa kunifolow kupitia link hii 👉Chacha M🦓🦓 | WhatsApp-Kanal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah, kila kifo ni muhimu kiwe na sababu. kikikosa sababu tutawapa kazi polisi kufungua jalada la kifo cha mashakaHiyo kitaalamu inaitwa "Myocardial ischemia" occurs when blood flow to the heart muscle (myocardium) is obstructed by a partial or complete blockage of a coronary artery by a buildup of plaques (atherosclerosis). If the plaques rupture, you can have a heart attack (myocardial infarction).
Huu ugonjwa hauji ghafla, bali huanza taratibu kwa plaques kujijenga ndani ya mishipa ya damu.
Ipo namna ya kuzuia plaques zisijijenge ndani ya mishipa ya damu.
By the way kifo haiepukiki, usipokufa kwa sababu hii, utakufa kwa sababu nyingine.
Nilipokea simu saa kumi na mbili alfajiri ya Leo toka kwa familia kuwa tumempoteza rafiki kwa mujibu wa wanafalilia mazishi yatafanyika siku ya juma tatu na msiba upo nyumbani kwao kongowe mbagalaPumzika Maria.
Wewe ni wakili mzuri.
Umenisimimamia mahakama zote kuanzia ya mwanzo, wilaya mpaka mahakama kuu.
Siku 4 nyuma tulikuwa tunapiga mahesabu 2026 utengeneze upya kitambulisho cha taifa kwa maana cha sasa wamekosea jina lako kumbe tunaagana.
Pole pia Khalid Mzee.
Jaji Mfawidhi nitaomba update niweze kumuaga Maria hapa jijini DSM.
Ahsante.Nilipokea simu saa kumi na mbili alfajiri ya Leo toka kwa familia kuwa tumempoteza rafiki kwa mujibu wa wanafalilia mazishi yatafanyika siku ya juma tatu na msiba upo nyumbani kwao kongowe mbagala
Kongowe mwishoAhsante.
Kongowe kituo gani?
Na kuaga lini?Ahsante ninategemea update toka kwako.
Ukishuka ukauliza kwa kina Pengo umefikaAhsante.
Kongowe kituo gani?
Na kuaga lini?Ahsante ninategemea update toka kwako.
Anawatoto wangapiPumzika Maria.
Wewe ni wakili mzuri.
Umenisimimamia mahakama zote kuanzia ya mwanzo, wilaya mpaka mahakama kuu.
Siku 4 nyuma tulikuwa tunapiga mahesabu 2026 utengeneze upya kitambulisho cha taifa kwa maana cha sasa wamekosea jina lako kumbe tunaagana.
Pole pia Khalid Mzee.
Jaji Mfawidhi nitaomba update niweze kumuaga Maria hapa jijini DSM.
Sawa sawa.Kongowe mwisho
Sifahamu.Anawatoto wangapi
Baraza la usuluhishi(ardhi),kama ndivyo ombeni mungusanaSifahamu.
Tulikuwa tunakutana tu ofisini kwake Ilala.
Je Post mortam report ndio inasema hivyo au umejisemea tu bila report ya Daktari??
Wakili wa Kujitegemea Maria amefariki ghafla akiwa ukumbi wa mikutano huko Dodoma kwenye vikao vya mawakili.Mshtuko wa moyo (heart attack) hutokea wakati mtiririko wa damu kuelekea sehemu ya moyo unapokatizwa au kupungua sana, hivyo kusababisha tishu za misuli ya moyo kukosa oksijeni. Hii inaweza kusababisha uharibifu mkubwa au kifo cha misuli ya moyo ikiwa haitatibiwa haraka.
Inasemekana ni shambulio la moyo, heart attack lililoshahihishwa na presha ya kushuka ndio imemkumba na sasa wanasheria wanahangaika na kusaidia wengine wanaoendeshwa na magari muda wote.
Inawezekana pia, kwa sababu Mawakili Wana mambo mengi sana, wengi wao Wana "mambo meusi" zaidi.Wamemuwekea sumu
USSR
Hili nalo pia neno.Wanasheria na mawakili wote ni watu wa dhuluma na utapeli ndio maana vifo vyao vinakuwaga gafla
Alisikika mlevi mmoja mkaazi wa makurunge kwa kivuzi akinenaHaya sio makafara ya Mwabukusi?
MArehemu alikuwa wakili wa kujitegemea ofisi yake ilikuwa Ilala.Baraza la usuluhishi(ardhi),kama ndivyo ombeni mungusana