TANZIA Wakili Maria Pengo afariki ghafla akihudhuria mkutano mkuu wa TLS, Dodoma

yeah, kila kifo ni muhimu kiwe na sababu. kikikosa sababu tutawapa kazi polisi kufungua jalada la kifo cha mashaka
 
Nilipokea simu saa kumi na mbili alfajiri ya Leo toka kwa familia kuwa tumempoteza rafiki kwa mujibu wa wanafalilia mazishi yatafanyika siku ya juma tatu na msiba upo nyumbani kwao kongowe mbagala
 
Nilipokea simu saa kumi na mbili alfajiri ya Leo toka kwa familia kuwa tumempoteza rafiki kwa mujibu wa wanafalilia mazishi yatafanyika siku ya juma tatu na msiba upo nyumbani kwao kongowe mbagala
Ahsante.
Kongowe kituo gani?
Na kuaga lini?Ahsante ninategemea update toka kwako.
 
Anawatoto wangapi
 
Je Post mortam report ndio inasema hivyo au umejisemea tu bila report ya Daktari??
Wamemuwekea sumu

USSR
Inawezekana pia, kwa sababu Mawakili Wana mambo mengi sana, wengi wao Wana "mambo meusi" zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…