Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Pamoja sn sister anguNaipenda UWT sababu ya mama ako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sn sister anguNaipenda UWT sababu ya mama ako.
Mi sina ujinga wa CCM wala CHADEMA sina wa kumpa imani yangu zaidi ya mungu na mimi mwenyewe, naomba unitoe huko kwenye siasa.Kwani Chadema wakimsaidia nyie wa CCM mnapata hasara gani?
wahuni wenzie tayari kazini (chadema)Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Wakili msomi Dickson Matata amesema uongozi wa Chadema Kanda na mkoa ukiongozwa na makamu mwenyekiti mh Masanja uko hospitali ya Rufaa Katavi kufuatilia hali ya afya ya Mwakalebela au Sativa ambaye yuko ICU
Matata ametoa Taarifa ukurasani X
Sasa unaumia nini Chadema kumsaidia mtu anayehitaji msaada? Yule ameumizwa sana kiasi yuko ICU anahitaji matibabu ya uhakika kuokoa maisha yake, na pia waliotaka kumuua wakijua kuwa yuko hai lazima watafanya juu chini wamalize kazi waliyotumwa, wakitokea watu kumsaidia wewe unapata hasara gani. Watu wameshachanga zaidi ya M10 wewe hujaombwa hata senti tano unapata shida gani? Ni ushetani tu unakusumbua na wengi wenye roho hiyo wako CCM ndiyo maana nilikuweka kwenye hao nguruwe wa kijani. Wacha roho mbaya.Mi sina ujinga wa CCM wala CHADEMA sina wa kumpa imani yangu zaidi ya mungu na mimi mwenyewe, naomba unitoe huko kwenye siasa.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuwahuni wenzie tayari kazini (chadema)
Mnamsaidia au ndo mnamuongezea matatizo, wangapi husaidia mtu bila mlengo wa kisiasa! Maana hapo tayari keshavishwa vazi la mgawanyiko wa kisiasa, kuna watu wema wangeweza kua karibunae saivi watakua mbali nae sababu ya kuogopa ukaribu wake na watu fulani.Sasa unaumia nini Chadema kumsaidia mtu anayehitaji msaada? Yule ameumizwa sana kiasi yuko ICU anahitaji matibabu ya uhakika kuokoa maisha yake, na pia waliotaka kumuua wakijua kuwa yuko hai lazima watafanya juu chini wamalize kazi waliyotumwa, wakitokea watu kumsaidia wewe unapata hasara gani. Watu wameshachanga zaidi ya M10 wewe hujaombwa hata senti tano unapata shida gani? Ni ushetani tu unakusumbua na wengi wenye roho hiyo wako CCM ndiyo maana nilikuweka kwenye hao nguruwe wa kijani. Wacha roho mbaya.
Usichoelewa wewe ni kuwa Chadema siyo kama wamemzunguka hapo alipo lakini wanachofanya ni kuhakikisha kuwa anapata msaada hata hela iliyochangwa wamepewa familia yake, wewe unakuwa na chuki tu na Chadema hivyo kila wanachofanya wewe lazima uone ni cha kijinga haya nenda kamsaidie wewe.Mnamsaidia au ndo mnamuongezea matatizo, wangapi husaidia mtu bila mlengo wa kisiasa! Maana hapo tayari keshavishwa vazi la mgawanyiko wa kisiasa, kuna watu wema wangeweza kua karibunae saivi watakua mbali nae sababu ya kuogopa ukaribu wake na watu fulani.
NARUDIA. Mimi nafikiri kwake ni bora kua karibu na wazazi wake na ndugu zake kuliko hao watu wa mlengo wa kisiasa.
Sina chuki na mtu anayetoa kwa moyo na imani hua nina chuki kwa hawa wanaotoa kwajili ya mission fulani, kuanzia wanasiasa, wasanii, na watu maarufu wote wanaopenda picha na media kwenye issue za kumsaidia mwanadamu.Usichoelewa wewe ni kuwa Chadema siyo kama wamemzunguka hapo alipo lakini wanachofanya ni kuhakikisha kuwa anapata msaada hata hela iliyochangwa wamepewa familia yake, wewe unakuwa na chuki tu na Chadema hivyo kila wanachofanya wewe lazima uone ni cha kijinga haya nenda kamsaidie wewe.
Wewe ni mtu mwenye subira na matumaini sana kama bado unadhani kuna muujiza unaoweza kumtokea ghafla huyu mama na kumfanya abadilike kuwa mtu tofauti kabisa na alivyo.Anao uwezo wa kukemea bado hajachelewa.
CCM walitengeneza shada kuubwa sana la maua na kuliweka kwenye kaburi la mtoto aliyeuawa na wachawi wa Kagera.Dogo asikubali kutumika kisiasa naona chadema wanataka kumfanya kete yao