figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Jaji Issa Maige wa Mahakama Kuu Arusha, amemuhukumu wakili Medium Mwale kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Sh 200 milioni kutokana na kosa la utakatishaji fedha
Pia amemuhukumu kifungo cha miaka saba ambacho ameshakitumikia kutokana na makosa mengine.
Sep 25, 2018 Wakili wa Serikali, Oswald Tibabyakyomya, akisaidiana na mawakili wenzake, alimsomea upya Wakili Mwale mashtaka 41 ya utakasaji fedha haramu, kula njama, kughushi na kujipatia mali iliyopatikana kwa njia ya uhalifu.
Alidai washtakiwa hao walitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2009 na 2011.
Habari zaidi, soma=>Wakili Mediam Mwale adaiwa kukutwa na TZS 18 bilioni haramu - JamiiForums
Wakili Mwale na wenzake wasomewa upya mashtaka baada ya kukaa mahabusu kwa miaka 7 - JamiiForums
=====
An Arusha court has fined popular Arusha lawyer Median Mwale Sh200 million or serve five years in jail for money laundering charges.
High Court Judge Issa Maige ruled today, December 3, 2018, that Mwale will serve five years in jail should he fail to pay the fine for the charge of laundering Sh15 billion.
Mwale who has been in remand custody for slightly more than seven years will walk free upon payment of the fine in the case that hit headlines when he was first arrested and charged with the offence in 2011.
He was charged alongside Kenyan politician Don Bosco Gichana and CRDB Bank managers Boniface Mwimba and Elias Ndejembi. Mr Gichana was last month set free after paying Sh300 million in fine after pleading guilty to the offence.
Both Mwale and Gichana changed their plea, with the Arusha lawyer pleaded guilty on November 28, 2018. However, the CRDB Bank employees have maintained their not guilty charge and the court is expected to announce the date for hearing of the case which has dragged in court all the years for lack of progress in investigations.
Mr Mwale who is a popular figure in Arusha and the bank officials were arrested and arraigned over 42 charges of money laundering, conspiracy, forgery and possessing property obtained through illicit means.
Pia amemuhukumu kifungo cha miaka saba ambacho ameshakitumikia kutokana na makosa mengine.
Sep 25, 2018 Wakili wa Serikali, Oswald Tibabyakyomya, akisaidiana na mawakili wenzake, alimsomea upya Wakili Mwale mashtaka 41 ya utakasaji fedha haramu, kula njama, kughushi na kujipatia mali iliyopatikana kwa njia ya uhalifu.
Alidai washtakiwa hao walitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2009 na 2011.
Habari zaidi, soma=>Wakili Mediam Mwale adaiwa kukutwa na TZS 18 bilioni haramu - JamiiForums
Wakili Mwale na wenzake wasomewa upya mashtaka baada ya kukaa mahabusu kwa miaka 7 - JamiiForums
=====
An Arusha court has fined popular Arusha lawyer Median Mwale Sh200 million or serve five years in jail for money laundering charges.
High Court Judge Issa Maige ruled today, December 3, 2018, that Mwale will serve five years in jail should he fail to pay the fine for the charge of laundering Sh15 billion.
Mwale who has been in remand custody for slightly more than seven years will walk free upon payment of the fine in the case that hit headlines when he was first arrested and charged with the offence in 2011.
He was charged alongside Kenyan politician Don Bosco Gichana and CRDB Bank managers Boniface Mwimba and Elias Ndejembi. Mr Gichana was last month set free after paying Sh300 million in fine after pleading guilty to the offence.
Both Mwale and Gichana changed their plea, with the Arusha lawyer pleaded guilty on November 28, 2018. However, the CRDB Bank employees have maintained their not guilty charge and the court is expected to announce the date for hearing of the case which has dragged in court all the years for lack of progress in investigations.
Mr Mwale who is a popular figure in Arusha and the bank officials were arrested and arraigned over 42 charges of money laundering, conspiracy, forgery and possessing property obtained through illicit means.