cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hii ni katisha pesa hata billioni 500, kamatwa kubali kosa.. lipa faini sijui nini kidunchu ya ulizokatisha.. unaachiwa.. si mtu anabaki na pesa zake kama zipo kule na hukooo kama yupo smati..
Ukiachiwa maisha yanaendelea na pesa zako nyingiiii.. si ndio hivyo au?
Na kama ni hivi hawachukui pesa hizo zisaidie maendeleo ya nchi au mali kufidia karibu zote au zote. naona watu wataendelea tu kufanya haya kama kawa.
Sheria zingine sijui zikoje nchini hapa.. nielewesheni wadau..
Mahakama ya mafisadi nayo kama ipo ya hewa.. nilitegemea mapaparazi wawe wanatupa habari moto moto ila hakuna kitu.. Mh. Magufuli ningependa kumsikia akiongelea hili tena.
Ukiachiwa maisha yanaendelea na pesa zako nyingiiii.. si ndio hivyo au?
Na kama ni hivi hawachukui pesa hizo zisaidie maendeleo ya nchi au mali kufidia karibu zote au zote. naona watu wataendelea tu kufanya haya kama kawa.
Sheria zingine sijui zikoje nchini hapa.. nielewesheni wadau..
Mahakama ya mafisadi nayo kama ipo ya hewa.. nilitegemea mapaparazi wawe wanatupa habari moto moto ila hakuna kitu.. Mh. Magufuli ningependa kumsikia akiongelea hili tena.