😉😉😉😉You take a soap
Then you take the moneys
Then water ...
Then you mix them
And thoroughly you wash them ...
Swalehe ndo kanambia hivyo ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😉😉😉😉You take a soap
Then you take the moneys
Then water ...
Then you mix them
And thoroughly you wash them ...
Swalehe ndo kanambia hivyo ..
Jaji Issa Maige wa Mahakama Kuu Arusha, amemuhukumu wakili Medium Mwale kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya Sh 200 milioni kutokana na kosa la utakatishaji fedha
Pia amemuhukumu kifungo cha miaka saba ambacho ameshakitumikia kutokana na makosa mengine.
Sep 25, 2018 Wakili wa Serikali, Oswald Tibabyakyomya, akisaidiana na mawakili wenzake, alimsomea upya Wakili Mwale mashtaka 41 ya utakasaji fedha haramu, kula njama, kughushi na kujipatia mali iliyopatikana kwa njia ya uhalifu.
Alidai washtakiwa hao walitenda makosa hayo kwa nyakati tofauti kati ya mwaka 2009 na 2011.
Habari zaidi, soma=>Wakili Mediam Mwale adaiwa kukutwa na TZS 18 bilioni haramu - JamiiForums
Wakili Mwale na wenzake wasomewa upya mashtaka baada ya kukaa mahabusu kwa miaka 7 - JamiiForums
Ni hivi mosi ni kuingiza pesa iliyopatikana isivyo halali katika mfumo halali wa fedha/matumizi pia kuingiza fedha halali katika matumiz yasiyo halali, mfano fedha halili kuingiziwa katika mfumo wa kufadhili ugaidi, au maharamia wapate fedha kwa utekaji wao kisha kwa mbinu kadha wa kadha kutumia fedha hizo kufanya biashara halali, mfano kufungua maduka nk.hyo ndo tafsir nyepesi niijuayo ,Tchao,muuza nyanyahivi wakuu neno utakatishaji fedha lina maana gani maan muda mrefu nimekuwa nikilisikia na watu wanachukuliwa atua au hili tendo limekaa vip kifedha
Miaka saba amekaa ndani kabla hajahukumiwa. Najiuliza angeonekana hana hatia hiyo miaka saba anarudishiwaje?!Huyu mtu kateseka sana..! Kwasababu ya chuki za watu na wivu..!
Laana ya huyo mke ndiyo imewafikisha hapoMke wa meneja wa crdb alikuwa anauza mahindi ya kuchoma dar baada ya kutelekezwa na mumewe alipopewa milion 200 na wakili mwale..
Ili kuepuka utakatishaji fedha ukipata fedha isiyo halali unatakiwa uitumieje?Sory boss
Kutakatisha fedha ...
Ni kuwa na fedha nyingi ambazo hujazipata kihalali then mtu anaenda kuzitumia kwa mambo halali anachange the value of money so as to avoid to be seen as a culprit
Mfano serikali ikikuta wewe paap una bilion moja may be na unajua fika haujazipata kihalali ili uonekane ni zako for realy unazipeleka may be kununua shamba la hekari nyingi
Sory mkuu mi sina dharau naishi kwa kumheahimu kila mtu humu ndani na ni kweli na elimu kubwa nilikua sidhan kama ungereact hivi na nlkua najua may be tu ni unaleta masihara mkuu
Zaid zaid tuendelee kuijenga nchi yetu ...
Angalia usije na wewe kumpa laana mumeo.Laana ya huyo mke ndiyo imewafikisha hapo
Nenounaoneka unaelimu nzuri ila zarau ndio nyingi angalia sn mienendo hy kweny maisha yako itakuvurugiaa vingi upuuzi masiaraa kibaoo ya kijinga na swalehe anahasara
kwani kukutwa na hatia ni uthibitisho kwamba ulitenda kosa?.mkuu mbona mahakama imemkuta na hatia?
Nunua papuch hata tatu mkuuIli kuepuka utakatishaji fedha ukipata fedha isiyo halali unatakiwa uitumieje?
mkuu nashukuru umenielewesha vyemaSory boss
Kutakatisha fedha ...
Ni kuwa na fedha nyingi ambazo hujazipata kihalali then mtu anaenda kuzitumia kwa mambo halali anachange the value of money so as to avoid to be seen as a culprit
Mfano serikali ikikuta wewe paap una bilion moja may be na unajua fika haujazipata kihalali ili uonekane ni zako for realy unazipeleka may be kununua shamba la hekari nyingi
Sory mkuu mi sina dharau naishi kwa kumheahimu kila mtu humu ndani na ni kweli na elimu kubwa nilikua sidhan kama ungereact hivi na nlkua najua may be tu ni unaleta masihara mkuu
Zaid zaid tuendelee kuijenga nchi yetu ...
Wakome, washenzi sana, wengine utajiri wetu wameshikilia wajinga na warafu wengine.Bora washamkhuku maana hakuwa hata anapelekwa mahakamani.. Pole sana Wakili Medium Mwale.. pole mno.. sijui na akina Sioi na Harry Kitilya na shose Sinare wanaendelea je na kesi zao.......
Vumilieni bado kitambo kidogo giza sana jua asubuhi yakaribia
asante mkuu nimekupata vzrNi hivi mosi ni kuingiza pesa iliyopatikana isivyo halali katika mfumo halali wa fedha/matumizi pia kuingiza fedha halali katika matumiz yasiyo halali, mfano fedha halili kuingiziwa katika mfumo wa kufadhili ugaidi, au maharamia wapate fedha kwa utekaji wao kisha kwa mbinu kadha wa kadha kutumia fedha hizo kufanya biashara halali, mfano kufungua maduka nk.hyo ndo tafsir nyepesi niijuayo ,Tchao,muuza nyanya
Imemtesa au amejitesa, ni millions 200 na kifungo juu.atatoa fine ya million 200 atarudi nyumbani kulala ingawa jamuhuri imemtesa sana huyu mtu.
Mm fedha zangu huwa naztakatisha kwa kununua papuch mkuumkuu nashukuru umenielewesha vyema
punguza jazba.Imemtesa au amejitesa, ni millions 200 na kifungo juu.
Wapuuzi wachache ndiyo wanasumbua umma.