Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Aliteuliwa na jiwe kua deputy SG, wakati wakili mkuu alikua Dr. Mashamba,Siyo kweli maza ndiyo alimteua 2022, Bonifasi namfahamu vizuri sn wakati yupo F6 sisi tupo F1 alikuwa teacher wetu wa mombo
Ni kweli mama alimpandisha kua SG