Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175

Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175

Wafanyabiashara sijui kwanini wana tabia ya kudhulumu dhulumu hata kama pesa anayo atapenda akuzungushe tuu.
 
Mahakama Kuu, imewaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Hii ni baada ya mrufani wa kwanza, The Don’s Group Tanzania ya Jijini Arusha na Albert Msando na mkewe Jacquelene kushindwa rufaa waliyoifungua mahakama kuu, kupinga hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Albert Msando kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga ambapo yeye na mkewe ndiyo wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya Jijini Arusha inayofanya vizuri kibiashara katika jiji hilo la utalii.

Bahati Mgonja anayefanya biashara kwa jina la Y&H Mgonja Enterprises, alifungua kesi ya madai Mahakama ya Hakimu Arusha, akidai malimbikizo ya madai ya Sh181.2 milioni zilizotokana na deni la vinywaji aliowauzia wadaiwa hao.

Mwananchi

Pia, soma=> DC Msando adai atakata rufaa kuamriwa kulipa fidia ya 175M, asema mdai amemshtaki Msando badala ya kampuni yake in Habari na Hoja mchanganyiko
Amewahi kuwa diwani kata ya Mabogini Moshi mjini (Chadema) baadaye utawala wa Rais Magufuli akaunga juhudi.
 
Mahakama Kuu, imewaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Hii ni baada ya mrufani wa kwanza, The Don’s Group Tanzania ya Jijini Arusha na Albert Msando na mkewe Jacquelene kushindwa rufaa waliyoifungua mahakama kuu, kupinga hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.

Albert Msando kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga ambapo yeye na mkewe ndiyo wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya Jijini Arusha inayofanya vizuri kibiashara katika jiji hilo la utalii.

Bahati Mgonja anayefanya biashara kwa jina la Y&H Mgonja Enterprises, alifungua kesi ya madai Mahakama ya Hakimu Arusha, akidai malimbikizo ya madai ya Sh181.2 milioni zilizotokana na deni la vinywaji aliowauzia wadaiwa hao.

Mwananchi

Pia, soma=> DC Msando adai atakata rufaa kuamriwa kulipa fidia ya 175M, asema mdai amemshtaki Msando badala ya kampuni yake in Habari na Hoja mchanganyiko
Bahati Mgonja anayefanya biashara kwa jina la Y&H Mgonja Enterprises, alifungua kesi ya madai Mahakama ya Hakimu Arusha, akidai malimbikizo ya madai ya Sh181.2 milioni zilizotokana na deni la vinywaji aliowauzia wadaiwa hao.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!!
Malimbikizo ya deni zaidi ya milioni 181 sio mchezo....... kweli nchi hii bila unafiki haiendi.....
Albert Msando kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga ambapo yeye na mkewe ndiyo wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya Jijini Arusha inayofanya vizuri kibiashara katika jiji hilo la utalii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ma CCM wanadhani ukikopa hupashwi kulipa. Yako mengi Sana yanadaiwa na benki moja maarufu Dar.
 
Albert Msando kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga ambapo yeye na mkewe ndiyo wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya Jijini Arusha inayofanya vizuri kibiashara katika jiji hilo la utalii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unajiita The Don halafu hutaki kulipa madeni ndio tabia gani hii?

Hawa ndio wanasabisha mtu anafirisika, halafu huyo aliyepewa reward na Mahakama ukifuatilia utakuta kucheleweshewa hiyo pesa kumeshamuingiza kwenye madeni makubwa na riba juu.

Haya mambo muyasikie tu Kwa watu siyo powa kabisa.

Cc: Albert Msando
 
Back
Top Bottom