LGE2024 Wakili Msomi atangaza kugombea Uenyekiti wa Kijiji kijijini kwao

LGE2024 Wakili Msomi atangaza kugombea Uenyekiti wa Kijiji kijijini kwao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hiyo ni MISUSE OF PROFESSIONAL RESOURCES. Sasa nina amini yule Dr wa Hospitali ya Afya ya Akili MILEMBE aliposema kila binadamu ni KICHAA tumetofautiana KIWANGO. Sasa nimeamini.

Hapa ndipo mitizamo inapotofautiana sana. Binafsi, naamini watu wa kijijini kwake na vijiji vya jirani mpaka wilaya wanamhitaji zaidi katika wakati huu na ujao kitaaluma, kiuongozi na kifikra/haya ndio matumizi sahihi ya elimu/maarifa. Tuna matatizo mengi kwenye jamii zetu kwa kukosa mwanga kwenye mambo haya ya kijamii iwe ni sheria, afya, elimu nk. Anaweza kuwa chimbuko la mabadiliko makubwa ndani ya jamii kuliko kubaki mjini na kubanana huku.

Huu ndo mwanzo mzuri wa kujikomboa kwa nyanja zote kijamii kwa ujumla bila kujali utakuwa kwenye ngazi ipi ya uongozi, isipokuwa tu uwe umewiwa kutoka moyoni/ndani yako. Kupeleka elimu ya kitaaluma na kimaisha kwenye maeneo yaliyo nje ya maendeleo ulimwengu wa sayansi na teknolojia/share your experience and knowledge.
 
Kwa Mujibu wa Maelezo yake Wakili huyu Msomi anayeitwa Deogratius Mahinyila, anasema kwamba, siku zote imekuwa Ndoto yake kusaidia wanakijiji wenzake.

Kwa kukumbusha tu ni Hivi, Huyu kijana aliwahi kubambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi na serikali ya Dikteta Magufuli kwa kosa la kugombea Udiwani kwa tiketi ya Chadema.

Taarifa Kamili hii hapa

View attachment 3137715View attachment 3137716View attachment 3137717View attachment 3137718View attachment 3137719
Magufuli alaaniwe popote alipo. Kwanza aliiba sana pesa za nchi na kusificha kwake kwa masandarisi ma sasa zinatoka kupitia mwanae kwa kuhonga wati pikipiki.
 
Hakuna ombwe kwenye kufa Magufuli. Tanzania ilikuwapo kabla Magufuli hakuwa Rais na itaendelea kuwapo.

Magufuli aliwa BRAINWASH kwa kauli zake kuwa toka tupate uhuru yeye ndiye kafanya makubwa kuliko akina Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwette. Na nyinyi mlivyo na akili ya mende mukamuanini.

Mshenzi yule alikufuru kwa kusema akifa yeye hakuna atakayejenga miundombinu. Mungu akamsikia na akamtanguliza ahera. Huku miundombinu inajengwa kila kukicha.

Wewe unaongelea kuziba ombwe?? Ombwe gani sasa la kuziba ??
Ndonikasema kila mtu anavyoamini yupo sahihi.
 
Nadhani kati ya makosa makubwa sana niliyofanya ujanani mwangu ni lile la kutokutaka kujihusisha na siasa. Nilijihusisha na siasa kwa muda mfupi sana wakati wa uchaguzi wa 1995 tu. Wanasiasa wetu wameidudumiza sana jamii yetu kiasi kuwa hadi leo raia wetu hawajui kuwa wao ndio waajiri wa serikali. Raia wanaambiwa tu kuwa rais katoa hela bila hata kujua kuwa hel hizo siyo za rais bali ni zao. Wanachukulia kuwa rais katoa fadhila jambo ambalo siyo kweli.
Wananchi tumefanywa Mabwege sana!
 
Huwa sipendi Magufuli atajwe kwa ubaya, alishakufa mwacheni apumzike.

Hoja hata kama ni nzuri huwa nikikuta kuna kumponda Magu, basi huiruka thread nzima na kupoteza uhuru wa kuchangia.
Endelea kumlilia
 
Nyie ndo hamjui kwamba hamjui mliitisha maandamano hakuna hata moja aliandamana kusoma hamjui hata picha hamuoni?
Polisi ndio waliandamana na yale mauaji ya kibwege yamekomeshwa
 
Back
Top Bottom