LGE2024 Wakili Msomi atangaza kugombea Uenyekiti wa Kijiji kijijini kwao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Sasa anagombea uenyekiti wa Kijiji. Huoni hiyo ni demotion Erythrocyte
Hiyo ni MISUSE OF PROFESSIONAL RESOURCES. Sasa nina amini yule Dr wa Hospitali ya Afya ya Akili MILEMBE aliposema kila binadamu ni KICHAA tumetofautiana KIWANGO. Sasa nimeamini.
 
Hiyo ni MISUSE OF PROFESSIONAL RESOURCES. Sasa nina amini yule Dr wa Hospitali ya Afya ya Akili MILEMBE aliposema kila binadamu ni KICHAA tumetofautiana KIWANGO. Sasa nimeamini.

Hapa ndipo mitizamo inapotofautiana sana. Binafsi, naamini watu wa kijijini kwake na vijiji vya jirani mpaka wilaya wanamhitaji zaidi katika wakati huu na ujao kitaaluma, kiuongozi na kifikra/haya ndio matumizi sahihi ya elimu/maarifa. Tuna matatizo mengi kwenye jamii zetu kwa kukosa mwanga kwenye mambo haya ya kijamii iwe ni sheria, afya, elimu nk. Anaweza kuwa chimbuko la mabadiliko makubwa ndani ya jamii kuliko kubaki mjini na kubanana huku.

Huu ndo mwanzo mzuri wa kujikomboa kwa nyanja zote kijamii kwa ujumla bila kujali utakuwa kwenye ngazi ipi ya uongozi, isipokuwa tu uwe umewiwa kutoka moyoni/ndani yako. Kupeleka elimu ya kitaaluma na kimaisha kwenye maeneo yaliyo nje ya maendeleo ulimwengu wa sayansi na teknolojia/share your experience and knowledge.
 
Magufuli alaaniwe popote alipo. Kwanza aliiba sana pesa za nchi na kusificha kwake kwa masandarisi ma sasa zinatoka kupitia mwanae kwa kuhonga wati pikipiki.
 
Ndonikasema kila mtu anavyoamini yupo sahihi.
 
Wananchi tumefanywa Mabwege sana!
 
Huwa sipendi Magufuli atajwe kwa ubaya, alishakufa mwacheni apumzike.

Hoja hata kama ni nzuri huwa nikikuta kuna kumponda Magu, basi huiruka thread nzima na kupoteza uhuru wa kuchangia.
Endelea kumlilia
 
Nyie ndo hamjui kwamba hamjui mliitisha maandamano hakuna hata moja aliandamana kusoma hamjui hata picha hamuoni?
Polisi ndio waliandamana na yale mauaji ya kibwege yamekomeshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…