LGE2024 Wakili Msomi atangaza kugombea Uenyekiti wa Kijiji kijijini kwao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wazo zuri, tuwe na viongozi wasomi kuanzia hizi ngazi za chini, itasaidia sana kufumbua fikra za wananchi!
 
duuuh ataweza kuwa mnyenyekevu kweli?
 
Ni aibu kwa kweli!! Ni kutojiamini! Sijui huwa wanatarajia majibu kutoka kwa nani?
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…