Si mlikuwa mnauwana wenyewe kama yule wa iringa kalewa kagonga gari ya watu anakamatwa na police anajificha kwenye kivuli Cha siasaPolisi ndio waliandamana na yale mauaji ya kibwege yamekomeshwa
Hata hivyo watanzania wamewauuzaPolisi ndio waliandamana na yale mauaji ya kibwege yamekomeshwa
Kuna watu wanawajibika pakubwa kwa makosa waliyoyafanya 1945.Nearly 4 yrs to go.
Bado mnapambana na marehemu
Ana uthubutu na ujasiriAna stress huyo
Joined february 2024, kabla ya kutukana waulize wajinga wenzio kama Matusi yaliwahi kuwasaidia loloteHapo tu ndio mnapokosea wasenge nyie, tutaendelea kuichagua CCM
duuuh ataweza kuwa mnyenyekevu kweli?Kwa Mujibu wa Maelezo yake Wakili huyu Msomi anayeitwa Deogratius Mahinyila, anasema kwamba, siku zote imekuwa Ndoto yake kusaidia wanakijiji wenzake.
Kwa kukumbusha tu ni Hivi, Huyu kijana aliwahi kubambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi na serikali ya Dikteta Magufuli kwa kosa la kugombea Udiwani kwa tiketi ya Chadema.
Taarifa Kamili hii hapa
View attachment 3137715View attachment 3137716View attachment 3137717View attachment 3137718View attachment 3137719
Hawajiamini kabisa! Hawana sera inaonesha!Nearly 4 yrs to go.
Bado mnapambana na marehemu