Wakili msomi Bernard Morrison

Kwani kesi ya As Vita Vs Mazembe inafanana na hii?? Ile ni ya kanuni hii ya Yanga na Morrison ni ya mkataba!bladfwaken #Back2Back with #2BacktoBack

Tumia ubongo kidogo, Yanga akishinda means morison ni mchezaji halali wa Yanga. Simba atahukumiwa kwa kuchezesha mchezaji halali wa timu nyingine
 
Kwani kesi ya As Vita Vs Mazembe inafanana na hii?? Ile ni ya kanuni hii ya Yanga na Morrison ni ya mkataba!bladfwaken #Back2Back with #2BacktoBack
Tutakutana hapa baada ya tar 29.
 
Mkataba wowote walio nao GSM ni feki
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.

Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
 
Kweli mkuu Yanga hawajabahatisha
 
Aibu yako,aibu yenu nyani wa pori la Utopolo,GSM anawapelekesha atakavyo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Tunanomba urudi hapa tuna kikao
 
πŸ˜„πŸ˜„ Nilikuaga najua una akili kisoda.
 
Poleee sana
 
Kama Yanga wakishinda, ndio utajua kwa nini timu zinazo mchezesha mchezaji aliyekuwa na mkataba na timu nyingine, zina nyang'anywa points.
Simba wanakatwa points lini? πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Wakili Msomi Morrison kawagaragaza team yote ya Mawakili wa Yanga pamoja na Suti zao na Laptop za Apple[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…