Kama timu gani iliwahi kufanyiwa hivyo? Achaneni na kina Nugaz wanawapotosha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama timu gani iliwahi kufanyiwa hivyo? Achaneni na kina Nugaz wanawapotosha sana.
Kwani kesi ya As Vita Vs Mazembe inafanana na hii?? Ile ni ya kanuni hii ya Yanga na Morrison ni ya mkataba!bladfwaken #Back2Back with #2BacktoBack
Tutakutana hapa baada ya tar 29.Kwani kesi ya As Vita Vs Mazembe inafanana na hii?? Ile ni ya kanuni hii ya Yanga na Morrison ni ya mkataba!bladfwaken #Back2Back with #2BacktoBack
Mkataba wowote walio nao GSM ni fekiKama Yanga wakishinda, ndio utajua kwa nini timu zinazo mchezesha mchezaji aliyekuwa na mkataba na timu nyingine, zina nyang'anywa points.
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.Mkataba wowote walio nao GSM ni feki
Misukule mnaendelea kudanganywa tu sasa hivi ni kuhusu chamaNyie ndio watoto mmedanganywa na barua yenu ya FIFA.
Kweli mkuu Yanga hawajabahatishaMpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.
Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
Aibu yako,aibu yenu nyani wa pori la Utopolo,GSM anawapelekesha atakavyoMpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.
Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
Tunanomba urudi hapa tuna kikaoAS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.
Sasa Nugaz kapotosha nini na kesi ipo CAS bado hukumu na tar 29 inasikilizwa.Nyie kipindi fulani 2016/17 mliandika barua kwenda FIFA ili yanga apokonywe ubingwa wa 2016/2017 iliishia wapi.
Ninakumbusha tu.
AS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.
Sasa Nugaz kapotosha nini na kesi ipo CAS bado hukumu na tar 29 inasikilizwa.Nyie kipindi fulani 2016/17 mliandika barua kwenda FIFA ili yanga apokonywe ubingwa wa 2016/2017 iliishia wapi.
Ninakumbusha tu.
Poleee sanaSasa wewe bonde CAS anakujua nani, ushakula nguna lako na bando lako la chuo unajiona kila mtu upo nae sawa.
Viongozi ndio kazi bora sisi hoja zetu zimefika CAS na wametusikiliza, vip ile barua aliyo isema Manara mliyo ipeleka FIFA imeishia wapi....
Simba wanakatwa points lini? 😂😂Kama Yanga wakishinda, ndio utajua kwa nini timu zinazo mchezesha mchezaji aliyekuwa na mkataba na timu nyingine, zina nyang'anywa points.
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.
Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
Tutakutana hapa baada ya tar 29.
Tunanomba urudi hapa tuna kikao