Wakili msomi Bernard Morrison

Wakili msomi Bernard Morrison

Kama timu gani iliwahi kufanyiwa hivyo? Achaneni na kina Nugaz wanawapotosha sana.
IMG-20210725-WA0036.jpg
 
Kwani kesi ya As Vita Vs Mazembe inafanana na hii?? Ile ni ya kanuni hii ya Yanga na Morrison ni ya mkataba!bladfwaken #Back2Back with #2BacktoBack

Tumia ubongo kidogo, Yanga akishinda means morison ni mchezaji halali wa Yanga. Simba atahukumiwa kwa kuchezesha mchezaji halali wa timu nyingine
 
Kwani kesi ya As Vita Vs Mazembe inafanana na hii?? Ile ni ya kanuni hii ya Yanga na Morrison ni ya mkataba!bladfwaken #Back2Back with #2BacktoBack
Tutakutana hapa baada ya tar 29.
 
Mkataba wowote walio nao GSM ni feki
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.

Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
 
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.

Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
Kweli mkuu Yanga hawajabahatisha
 
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.

Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.
Aibu yako,aibu yenu nyani wa pori la Utopolo,GSM anawapelekesha atakavyo
FB_IMG_1625214394973.jpg
JamiiForums-1742202904.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
AS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.

Sasa Nugaz kapotosha nini na kesi ipo CAS bado hukumu na tar 29 inasikilizwa.Nyie kipindi fulani 2016/17 mliandika barua kwenda FIFA ili yanga apokonywe ubingwa wa 2016/2017 iliishia wapi.

Ninakumbusha tu.
Tunanomba urudi hapa tuna kikao
 
AS VITA na Mazembe, AS alinyanyang'anywa point Mazembe akawa bingwa.

Sasa Nugaz kapotosha nini na kesi ipo CAS bado hukumu na tar 29 inasikilizwa.Nyie kipindi fulani 2016/17 mliandika barua kwenda FIFA ili yanga apokonywe ubingwa wa 2016/2017 iliishia wapi.

Ninakumbusha tu.

😄😄 Nilikuaga najua una akili kisoda.
 
Sasa wewe bonde CAS anakujua nani, ushakula nguna lako na bando lako la chuo unajiona kila mtu upo nae sawa.

Viongozi ndio kazi bora sisi hoja zetu zimefika CAS na wametusikiliza, vip ile barua aliyo isema Manara mliyo ipeleka FIFA imeishia wapi....
Poleee sana
 
Mpaka umeona CAS wameipangia tarehe ya kusikiliza kesi ya Yanga jua Yanga wana hoja ya msingi,cha msingi Morrison nae ajipange na document zake.

Yanga hawaja bahatisha wanajua wanacho kifanya, sio kama wale ndugu zangu waliandika barua FIFA 2016 ,ili Yanga wapokonywe ubingwa wa 2016/2017 ,madai yakapigwa chini kimya kimya.

Wakili Msomi Morrison kawagaragaza team yote ya Mawakili wa Yanga pamoja na Suti zao na Laptop za Apple[emoji3]
 
Back
Top Bottom