Wakili Msomi Boniface Mwabukusi; Rais mtarajiwa toka Busokelo

Wakili Msomi Boniface Mwabukusi; Rais mtarajiwa toka Busokelo

Burkinabe

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2023
Posts
2,354
Reaction score
4,024
Leo katika kufuatilia habari, nimeshangzwa sana na mapokezi ya Wakili Msomi Boniface Mwabukusi huko kwao Busokelo.

Pamoja na Mkutano wake kupigwa "stop" na jeshi Polisi, bado wananchi wengi walikuwa na hamu kubwa ya kumsikiliza shujaa huyu wa Taifa letu kwa sasa huku wakimshangilia na kumwita Rais, Rais, Rais, Rais.

Kwa hakika nathubutu kusema mioyo ya Watanzania wengi inazidi kuvutiwa na Wakili huyu.
 

Attachments

Kama Hamas wameweza kufanya waliyofanya jana kwa taifa linalosaidiwa na wamarekani na washirika wake. Mwakubusi anaweza kuwa rais wa nchi hii. Ni kujipanga tu.
 
Kama Hamas wameweza kufanya waliyofanya jana kwa taifa linalosaidiwa na wamarekani na washirika wake. Mwakubusi anaweza kuwa rais wa nchi hii. Ni kujipanga tu.
Alipo Mwabukusi, tupo.
 
Tanzania ya sasa inahitaji watu kaliba ya wakili Boniface Mwabukusi, wanaume wa shoka, akiongea mijizi na mifisadi yote ya mali za Umma inatetemeka popote pale ilipo.
Mungu ambariki sana Rais wetu ajaye Mwabukusi,
Amina.
 
Back
Top Bottom